Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Finally nimepata toyota duet,suzuki swift na vits zote fundi wangu amezikagua amesema ziko vizuri na price tofauti sio kubwa. naombeni comment za mwisho nsije jutia ndio gari ya kwanza, so which one i should go for.thanks in advance great thinkers.

Hongera sana kwanza, chek ipi inakupa raha ukiendesha mkuu
 
Finally nimepata toyota duet,suzuki swift na vits zote fundi wangu amezikagua amesema ziko vizuri na price tofauti sio kubwa. naombeni comment za mwisho nsije jutia ndio gari ya kwanza, so which one i should go for.thanks in advance great thinkers.

suzuki swift... spare zake ziko juu sana.
vitz zinakuaga na ugonjwa wa gear box.
duet.. sijawai sikia malalamiko common ya duet.
 
wakuu Mimi naomba ushauri kati ya Toyota porte, funcargo na sienta zote za mwaka 2005, fuel consumption, comfort na reliability
 
Wapendwa wana JF
Nimekuwa Napata shida barabarani kutoka kwa washirika wenzangu wa barabara hivyo naomba kukumbusha mambo yafuatayo

1. Washa indiketa unapotaka kutoka barabarani au kuruhusu gari lipite angalau meta 50 kabla ya kutoka.

2. Ukiona mwenzako ana ovateki, usimfuate/ kuunganisha hadi ujiridhishe kuwa ni salama.

3. Kuwasha indiketa sio kibali cha kukuruhusu upite/ kupinda kulia, ila ni ishara kuwa unataka kupinda, hivyo ukishawasha, sharti uangalie nyuma (side mirror) na mbele, kujiridhisha kuwa ni salama kabla ya kupinda.

4. Usikimbize gari mahali ambako huoni umbali mrefu/ kwenye Bonde au Kona, kwani huwezi jua nini unaweza kukutana nacho huko (wanyama, gari imeharibika nk)

5. Mkiwa mnafuatana (magari mawili) mwenzako akasimama, usipite kabla ya kujua kwa nini amesimama.

6. Kuendesha chini ya KM 50 kwa saa highway, haikuepushii ajali bali ni kuwapa usumbufu watumia barabara wenzako; cha msingi ni kufuata taratibu za barabarani.

7. Kumbuka; kumbiza gari sio chanzo cha msingi cha kuleta ajali; Kinacholeta ajali ni kutokujua sheria au kutozifuata sheria na alama za barabarani zinazokuruhusu wapi ukimbize na wapi uende polepole.

8. Usiongee na simu lakini pia usipige sana stori au Kusikiliza radio/mahubiri kwenye radio wakati hujazoea kwani ukinogewa unaweza kujisahau na kukwangua/kukwanguliwa

9. Jitahidi kujua ukubwa wa gari lako, hasa kama unarudi nyuma au unapita sehemu nyembamba; omba msaada wa kuelekezwa.

10. Ukipaki gari barabarani, hakikisha ni salama kabla ya kufungua Mlango. Hii ni jukumu lako kuangalia usalama wako na uliowapakia hasa kama mlango unafungukia kulia (upande wa barabarani).
Kumbuka kuna bodaboda zinazoweza kugonga mtu anayeshuka kwa urahisi

Nawasilisha!!!

Asante mkuu kwa maelezo yakobmazuri.
umesahau moja au mawili ingawa katika maelezo yako umegusia, kuendesha gari sio tu kuibeba mashine yenyewe name kuipeleka hapana! kitu kinaitwa "Common Sense" in muhimu sana.jam, Accident hata malumbano barabarani yanaletwa na ukosefu wa akili hiyo ya kuzaliwa.
nadhani kingepatikana chombo maalumu au mtaalamu was kulichunguza chili tungepona sababu madereva engine wendawazimu kabisaa! unasjangaa Hutu gari anaendesha ya nini?
LA mwisho taxa..full na beam usiku hakika 90% ya madereva hawajui matumiza ya TSA unspokutana na mwenzio shusha mataa usitumie mataa msrefu..full light wengi anakupelekea! hay no makosa makubwa husababisha hata ajali usalama barabarani toeni magunzo thabiti kuhusu jambo hili najua mko ktk uwanja wetu.
asanteni.
 
Asante mkuu kwa maelezo yakobmazuri.
umesahau moja au mawili ingawa katika maelezo yako umegusia, kuendesha gari sio tu kuibeba mashine yenyewe name kuipeleka hapana! kitu kinaitwa "Common Sense" in muhimu sana.jam, Accident hata malumbano barabarani yanaletwa na ukosefu wa akili hiyo ya kuzaliwa.
nadhani kingepatikana chombo maalumu au mtaalamu was kulichunguza chili tungepona sababu madereva engine wendawazimu kabisaa! unasjangaa Hutu gari anaendesha ya nini?
LA mwisho taxa..full na beam usiku hakika 90% ya madereva hawajui matumiza ya TSA unspokutana na mwenzio shusha mataa usitumie mataa msrefu..full light wengi anakupelekea! hay no makosa makubwa husababisha hata ajali usalama barabarani toeni magunzo thabiti kuhusu jambo hili najua mko ktk uwanja wetu.
asanteni.

Mkuu hili la taaa nikweli kabisaaa but hasaa wenzetu wa bajaji yani huwa wanapiga taaa full mpaka inakelaaa
 
Wakuu msaada kudogo gari yangu ni ndono na unatumia mfumo Wa zamani Wa Taa kubwa ninavyooa yaaani inakuwa na jumba LA Taa na ndani yake kuna kuwa na balbu nilitaka kujua he inawezekana hizo Taa kuzifanyia mod. Na kuwaka mwanga mkali (booster)kama gari za kisasa? Maana nanyanyasika rodini
 
Wakuu msaada kudogo gari yangu ni ndono na unatumia mfumo Wa zamani Wa Taa kubwa ninavyooa yaaani inakuwa na jumba LA Taa na ndani yake kuna kuwa na balbu nilitaka kujua he inawezekana hizo Taa kuzifanyia mod. Na kuwaka mwanga mkali (booster)kama gari za kisasa? Maana nanyanyasika rodini

Hahaha kumbe na ww unataka kunyanyasaa eeehh
 
Hivi vipi kuhusu watsap group la maswala ya kupeana uzoefu wa magari, maana nimetuma namber ya simu nimeona kimya, kama admin unaiona msg hii plz hebu fanya kutu-add
 
Habari zenu
Nina gari aina ya subaru legacy ya kifamilia. Inatumia tyre size 17 lakini kutokana na changamoto za barabara za matuta na huku nakokaa lazima nivuke kivuko imekuwa inanipa taabu kidogo sehemu ya mbele na chini vilevile kukwaluza. Sasa nilikuwa nataka kuiinua kwa kuweka spensa na kubadilisha tyre ziwe size 18. Je nini madhara ya kufanya hivi? Inaweza kuathiri utulivu wa gari barabarani hasa nikiwa katika mwendo mkubwa, kwani kwa sasa inaonekana gari ipo chini sana. Kama hakuna athari je wapi naweza kupata rim kali za subaru legacy size 18? Asanteni
Nawasilisha
 
Bwana weeee inapata tabu wajuaji wanaweza nipeleka mtaroni
 
Finally nimepata toyota duet,suzuki swift na vits zote fundi wangu amezikagua amesema ziko vizuri na price tofauti sio kubwa. naombeni comment za mwisho nsije jutia ndio gari ya kwanza, so which one i should go for.thanks in advance great thinkers.
nkushauri go for SWIFT ni ghali kuimaintain lakini kama ni mtumiaji mzuri uta enjoy ni ngumu na comfy, ila resale yake ni ngumu kiasi
 
kwa kuongezea, magari mengi tunanunua used huwa yanakuja na mannual za kijapani, na hakuna tafsiri so we go by the rule of the thumb

Hivi ni nini kutufanyia vile lakini......?........na sisi ndio wateja wao wakubwa.........hawana customer care kabisa........
 
Habari zenu
Nina gari aina ya subaru legacy ya kifamilia. Inatumia tyre size 17 lakini kutokana na changamoto za barabara za matuta na huku nakokaa lazima nivuke kivuko imekuwa inanipa taabu kidogo sehemu ya mbele na chini vilevile kukwaluza. Sasa nilikuwa nataka kuiinua kwa kuweka spensa na kubadilisha tyre ziwe size 18. Je nini madhara ya kufanya hivi? Inaweza kuathiri utulivu wa gari barabarani hasa nikiwa katika mwendo mkubwa, kwani kwa sasa inaonekana gari ipo chini sana. Kama hakuna athari je wapi naweza kupata rim kali za subaru legacy size 18? Asanteni
Nawasilisha

Sikushauri ufanye hivyo, utaharibu original balance ya COG , fuel consuption na ishu kibaao. Tafuta hata terios mkuu viko juu hivi vigari
 
Back
Top Bottom