Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

mshana eeh,hii kitu naikubali sana,ila sijui ulaji wake wa wese na upatikanaji wa spea zake na bei zake ukoje??

Ulaji wa mafuta bodaboda cha mtoto spare zipo wala usihofu
 
Last edited by a moderator:
Naomba uzoef wako juu ya mark2 blit, hasa ubora na udhaifu wake mbali na kuwa chini
 
Naomba uzoef wako juu ya mark2 blit, hasa ubora na udhaifu wake mbali na kuwa chini

Naona ni gari ngumu lakini zilizokosa umaarufu nafikiri kutokana na ukubwa wa engine na shape yake
 
3000km kwa hydrolic ya gearbox mkuu?

Hata mimi nimeshangaa kidogo. Ninavyojua ile sio ya kubadilinkila service hasa kama unaweka za kiwango cha ubora wa hali ya juu. Muhimu ni kuangalia ubora wake mara kwa mara.
 
Nashukuru kukuta hii thread. Wakuu nlitaka kubadili plug za Toyota opa inatumia plug za sindano lakini fundi anasema tunaeza funga za kawaida tuu. Je hakuna madhara yoyote tukibadili hii aina ya plug.
Asante
 
Nashukuru kukuta hii thread. Wakuu nlitaka kubadili plug za Toyota opa inatumia plug za sindano lakini fundi anasema tunaeza funga za kawaida tuu. Je hakuna madhara yoyote tukibadili hii aina ya plug.
Asante

Hapana usifanye modification, kuna madhara kama gari kutetema na fuel consumption kupanda
 
Hata mimi nimeshangaa kidogo. Ninavyojua ile sio ya kubadilinkila service hasa kama unaweka za kiwango cha ubora wa hali ya juu. Muhimu ni kuangalia ubora wake mara kwa mara.

Basi nafikiri mimi nafanya tofauti kwakuwa kila service normally km 6000 mabadiliko vyote
Na kwakweli imenisaidia sana kutunza gearbox
 
Kwa wamiliki wa magari engine oil ni kitu muhimu sana kwa uhai wa gari lako. Bila engine oil au ukitumia engine oil isio sahihi kwa gari lako,unaweza kuliua haraka sana au likwa linakufa taratibu bila wewe kujua,ndio unaona mara kwa mara mara hiki kimekufa mara kile hatimae inakubidi ubadili engine nzima.

Kuna aina mbili za oil[well zinazotumika sana kwa magari]:
1.mono grade eg SAE 40
2.multi grade eg 5W40

Mono Grade:
Hizi huwa zinakuwa na viscocity moja,ikipoa au ikipata moto,zinatumika sana kwa magari ya kawaida hasa toyota,kama ukiona SAE40, SAE 60 ndio hizo

Multi Grade:
Hizi zina grade mbili kulingana na joto la engine eg 5W40, 5W30,10W60 etc. Hizi zinatumiwa sana na european cars. BMW,AUDI,MERCEDES BENZ,VW,RR.DISCOVERY 3/4 etc

mfano 5W30
5 inawakilisha viscocity engine ikiwa baridi kabla haijapata moto, W inawakilisha neno 'weight' wengine wanasema winter.
30 inawakilisha viscocity engine ikishafika optimum operating temperature,ukiangalia gauge yako pale mstari wa temp unapokaa kati ndio operating temperature.

Multi grade huwa zinatumika sana kwa european cars na wameweka hivyo kusudi kwasababu ya baridi,oil inakuwa nzito sana kwahio inabidi iwe nyembamba ili iweze kuzunguka kwenye engine na ubaridi wake mpaka ikipata moto ndio inakuwa nzito inavyotakiwa na kuzunguka kwa urahisi.

Kama unamiliki euro cars nakushauri tafuta specific number kwa ajili ya gari yako. Gari nyingi zinatumia 5W30 au 5W40. Usipotumia oil sahihi utaua vitu vingi taratibu kikubwa turbo kwa gari za diesel. Na asikudanganye mtu kuwa kuna oil ya VW/BENZ/AUDI etc muhimu ni namba ya engine oil specific kwa gari fulani,halafu ndio uchague kampuni nzuri ununue hio oil.

Natumaini kuna wataalam wa lubricants humu wanaweza kuingia deep zaidi na kutupa darasa zaidi.

Kwa matumizi ya oil katika engine za magari huwa hatujitungii kichwani kuwa ni aina ipi ya oil utumie eti kwakua kwenye gari ya fulani kaona inamfaa zaidi, hapana,
Huwa tunafuata Manual Instruction book, kitabu cha kwenye gari ambacho kinakuelekeza jinsi ya kutumia na kulifanyia matengenezo gari hilo.
Kwa aina nyingine za magari mf. Benz,Range Lover,Aud na mengineyo huwa yameandikwa Recommend oil katika cover's za engine ama bonet ya gari hiyo.
Ushauri wangu Tusome Manual Instructions Book ili kutoyaharibu magari yetu.
 
Kwa matumizi ya oil katika engine za magari huwa hatujitungii kichwani kuwa ni aina ipi ya oil utumie eti kwakua kwenye gari ya fulani kaona inamfaa zaidi, hapana,
Huwa tunafuata Manual Instruction book, kitabu cha kwenye gari ambacho kinakuelekeza jinsi ya kutumia na kulifanyia matengenezo gari hilo.
Kwa aina nyingine za magari mf. Benz,Range Lover,Aud na mengineyo huwa yameandikwa Recommend oil katika cover's za engine ama bonet ya gari hiyo.
Ushauri wangu Tusome Manual Instructions Book ili kutoyaharibu magari yetu.


Watengeneza magari wanaingia contract na watengeneza oil. Mfano Bmw au MB wao wana contract na CASTROL ndio maana wameandika tumia Castrol,Peugeot wao wanashauri Total kwasababu wana contract nao.

Kwa faida yako muhimu ni namba ya engine oil either 5w40/10w50/10w60/0w40 ndio unayotakiwa kuzingatia na sio brand ya oil.
 
Watengeneza magari wanaingia contract na watengeneza oil. Mfano Bmw au MB wao wana contract na CASTROL ndio maana wameandika tumia Castrol,Peugeot wao wanashauri Total kwasababu wana contract nao.

Kwa faida yako muhimu ni namba ya engine oil either 5w40/10w50/10w60/0w40 ndio unayotakiwa kuzingatia na sio brand ya oil.

kwa kuongezea, magari mengi tunanunua used huwa yanakuja na mannual za kijapani, na hakuna tafsiri so we go by the rule of the thumb
 
Finally nimepata toyota duet,suzuki swift na vits zote fundi wangu amezikagua amesema ziko vizuri na price tofauti sio kubwa. naombeni comment za mwisho nsije jutia ndio gari ya kwanza, so which one i should go for.thanks in advance great thinkers.
 
Back
Top Bottom