Sikushauri ununue Vista kwa bei hiyo.
Pls to my personal advice achana nayo tafuta group ya madalali wa magari kuna magari mengi Mazuri kwa bei poa sana
Napenda kuuliza, natumia gari aina ya corona injini 5A, injini imeshachoka je! ni bora kufanya kipi, ovaholi au kununua injini nyingine? Na gharama inakuwaje kununu injini coz overall fundi ameniambia nitafute kama laki 7
Asante sana mkuu, na mshana jr na kwa kunifungua macho....kati ya vista na Carina ti nichukue ipi? Intention yangu ilikuwa ni ti sasa nimekutana na vista anapiga bei hiyo....
Carina ni gari ya kisasa na ipo sokoni kwa biashara na kwa private.Vista mpaka upate mstaafu aliyelipwa mi noti kibao utakapoamua kuiuza ,na vista nyingi engine zake ni D4 ambazo mafundi wengi hawazijui.Kwa uoga wa watu wengi na engine za D4 unaweza kukumbana na changamoto nyingi usoni kwa kwenye suala la kuiuza na pia service. Chukua Carina TI.
Ingia Facebook kuna group linaitwa Car Deals lipo chini ya cyberteque omba kuingia then ataku-approve. Jana kuna gari imeuzwa milioni 2.5 namba ASZ TOYOTA mark 2 ilikua inaonekana nzima sana
Kama gari yako unatumia mjini tu na kwa nadra safari ndefu huna haja ya kuitoa. Ila kama unasafiri safari ndefu mara kwa mara nakushauri uitoe kwani madhara yake ni makubwa, unaweza hata kupasua rejeta, n.k
Sikushauri ununue Vista kwa bei hiyo.
Carina ni gari ya kisasa na ipo sokoni kwa biashara na kwa private.Vista mpaka upate mstaafu aliyelipwa mi noti kibao utakapoamua kuiuza ,na vista nyingi engine zake ni D4 ambazo mafundi wengi hawazijui.Kwa uoga wa watu wengi na engine za D4 unaweza kukumbana na changamoto nyingi usoni kwa kwenye suala la kuiuza na pia service. Chukua Carina TI.
wakuu nina Toyota Surf ilikuwa ina injini ya 2LT imekufa sasa ninataka kufunga injini ya 1KZ na gearbox automatic, naomba ushauri wakuu, pia vipi kuhusu upatikanaji wa used engine ya 1KZ.....?!
sio kweli mkuu hiyo kitu haitakiwi kutolewa kabisa mkuu hutakiwi kuitoa.hilo suala la sijui kupasua rejeta ukiona Gari inafanya hivyo ujue inamatatizo mengine .
na wengi thermostert zikiwa zinakaribia kufa au zikianza kufa au kufa kabisa huwa hawaelewi.lakini wakikutana na mwenye ujuzi kidogo akimwambia aitoe na akiitoa Gari ikiwa fresh basi kila Gari ikija kwake au ushauri atakao utoa ni kuitoa tuu.
yaani ni sawa sawa na kuwa engine za D4 mbovu.watu wanaongea ukimuuliza ubovu wake hajui atakwambia ooo hazitengenezeki
Kwa uzoefu wangu kwa nchi zenye joto,thermostat hufa kwa kuchelewa kufungua njia,ikitokea hii ukiwa uko kwenye safari ndefu msukumo wa water pump husababisha rejeta kupasuka kwani maji hayaruhusiwi kuendelea na mzunguko.
Kama unataka thermostat iendelee kuwepo inakulazimu uwe unaibadilisha mara kwa mara
Wakuu naomba kujua ni kwanini tunapowapa mafundi waunge sehemu za vyuma kwenye magari yetu (welding) wanataka gari iwe kwenye silencer "on) au terminal ziwe disconnected?
Najua ni issues za short lakini gari ikiwa silencer inazuia vipi short? mshana jr, Transistor et el!
Perfect..!!toyota cami
pajero mini
rav4 3door
vitz
passo
starlet