Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

My number connect me on whatsapp for more knowledge 0764111188
 
Msaada bandugu...kuna hii mazda demio...nimeipenda sana....vip mnaoijua hii gari...kwa maana ya upatikanaji wa vipuri na bei zake....!
 
Msaada bandugu...kuna hii mazda demio...nimeipenda sana....vip mnaoijua hii gari...kwa maana ya upatikanaji wa vipuri na bei zake....!

Rough road jiaandae kung'ata meno.siijui vizuri ila kuna jamaa anayo mwaka aasa haijampa tabu.ila kwa barabara mbovu haimudu kivile
 
Rough road jiaandae kung'ata meno.siijui vizuri ila kuna jamaa anayo mwaka aasa haijampa tabu.ila kwa barabara mbovu haimudu kivile

Asante mkuu...kwa bajet zetu hizi kung'ata memo hakuepukiki....! Nawaza tu availability ya vipuri
 
MSAADA TAFADHALI
  1. Je ni duka lipi (mtaa/mahali lilipo au mawasiliano) naweza kununua {a} Left Sight mirror complete {b} Kioo - mlango wa kushoto; Pia waweza kuweka na bei {au makadilio ya bei} kwa kila kimoja.
  2. Ni gereji ipi kwa DAR ES SALAAM niende wanifanyie hii kazi kiufanisi; ikiwa ni pamoja na kunyosha body.
  3. Je ni gereji ipi na ya wapi (mtaa/mahali lilipo au mawasiliano) nitapata wataalamu wa kupaka rangi. Lengo ni gari yote ipakwe rangi upya; Naomba makadirio ya gharama pia kwa upakaji rangi.
KUHUSU GARI
  • Ni toyota IST
  • Rangi: Meatallic Black
Ahsanteni sana kwa masaada wenu










Hakuna aliyeumia kwenye hili tukio.

 

mkuu kuhusu spea hiyo usipate tabu mpigie huyu jamaa anaitwa amouri yupo ILALA karibia kabisa na ofisi za raha Leo .kama utakuwa umewahi pasikia KWA OSAMA 0715 274191. 0777274191 .

na kuhusu ni gereji gani ya kupiga rangi. zipo nyingi sana mkuu sema labda nikuulize hiyo gari ni ya bima?? garama za kupiga rangi au zinatoka kwako mwenyewe .maana naweza nikakupa gereji ambayo wanapiga rangi GARI za bima ukienda ww ukiambiwa bei zao lazima utoke ndukiii.

0782242450.mcheki huyo.
 
Naomba kujua dalili za rotter kama ni mbovu kwenye pump ya dizeli!
 
ndugu LEGE ahsante kwa masaada

Kuhusu ghalama za kupiga rangi - Zinatoka kwangu mwenyewe. Naomba mwongozo.
 
Last edited by a moderator:
ndugu LEGE ahsante kwa masaada

Kuhusu ghalama za kupiga rangi - Zinatoka kwangu mwenyewe. Naomba mwongozo.

okey kama garama ni za kwako mwenyewe Ngoja nifike KIJIWENI kuna namba nitakutumia coz kuna FUNDI 1 yupo vizuri sana KWA kupiga rangi alikuwa kwa WACHINA akafanya kazi sehem nyingi now anakigereji chake nazani atakufaa.ila yeye yupo MWENGE .kuhusu garama kwa kweli siwezi sema lolote wala kukadilia coz mm sio FUNDI rangi
 
Last edited by a moderator:
Wakuu gear box oil ikipungua kwenye gari madhara yake ni nini!

kwanza GARI huanza kuchelewa kubadili gia??
ukiwa unaendesha huwa inakuwa nzito inakulazimu ukanyagie sana accelereter ili iweze Ku move.

na itaanza kula sana MAFUTA.

mwisho lazima utaunguza clutch za gearbox.

garama ya hydrolic ni ndogo sana ukilinganisha na garama ya hiyo gearbox itakapo halibika kabisa
 
Shukrani sana LEGE , huyo fundi atanifaa.
 
Last edited by a moderator:

Mkuu nakushukuru kwa kuniungia dots zilizokuwa kichwani mwangu.

Hii tabia ya kuondoa thermostat ilikuwa ni kwenye magari ya kizamani-maarifa mengi mnoo, lakini kwa magari ya kisasa kila kitu ni cha kisasa hususani magari madogo, kila kitu ni automated, feni automatic - inatumia umeme, gearbox automatic, a/c automatic, sensors nyingi, hiyo THERMOSTAT yenyewe ni AUTOMATIC, kuiondoa ni kuharibu balanced make ya gari, hebu tuache kutenda kwa mazoea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…