Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali


Sorry vivuli au vipuri?
 
Mkuu,
Usipende mashindano barabarani. Huwa hayana mwisho mwema. Lakini kama umedhamiria kweli, utafika unakokimbilia...very soon.

Daah hata swali hujajibu mkuu. Ahsante kwa ushauri. Naendesha gari toka 1991 nilipigwa pasi mara ya mwisho mwaka 1999. Ajali sio speed tu inajumuisha mambo meeengi sana. Please mwenye uelewa wa swali langu anusaidie jibu tusijeanzisha topic juu ya topic.
 

sina uhakika na hilo siwezi kukubishia lkn nijuavyo mm utakuwa hukufika kwenye R but ulifika kwenye N sababu gari ikiwa kwenye P iliiweze kumove mpaka kwenye R,N na D ni lazima ukanyage brake lkn ukisha kuwa kwenye N haina haja ya kukanyaga brake unaweza uka move kwenye D L na 2 Au toka chini unaweza ukarudi mpaka kwenye N lkn sio kwenye R .

hiyo mkuu sina uhakika nalo siwezi tia neno hapo mpaka uchunguzi na majaribio niyafanye
 

Kuna kitu out of yours knowledge n within seconds kilitokea na ndio maana gearbox haikuathirika lakini katika mazingira ya kawaida kungetokea shida kwakuwa zaidi ya NEUTRAL na DRIVER 1, 2, 3, gearleaver haiwezi kumove freely
 

Thnx. Ilikua kitu cha ghafla sana na sijawahi pata shida hio tena na naogopa kujaribu kwa makusudi. Mimi ni engineer lakini sio wa magari kwa hio nimekua najiuliza kwa miaka mingi sana is it possible kweli kwamba due to high speed na wajapan wakijua fika bahati mbaya zipo unaweza sukuma gear lever bahati mbaya so wakaprotect gari against that situation. Anyway may be haikufika kwenye R kweli.
 
Kuna kitu out of yours knowledge n within seconds kilitokea na ndio maana gearbox haikuathirika lakini katika mazingira ya kawaida kungetokea shida kwakuwa zaidi ya NEUTRAL na DRIVER 1, 2, 3, gearleaver haiwezi kumove freely

Siku yake ya kufa ilikuwa haijafika
 
msaada plz ford escape v6 ilipoteza ufunguo nimenunua ufunguo ila bado haiwaki
 
msaada plz ford escape v6 ilipoteza ufunguo nimenunua ufunguo ila bado haiwaki

Hizo funguo zina link na control box hivyo onana na wataalam wakufanyie programming lakini hakikisha hiyo funguo sio hizi za kuchonga mtaani
 

Shikamoo!
 
wadau habarini za jion samahani naomba kuuliza ist 1NZ ingine 1490cc na ist 2NZ engine 1290cc kati ya hizo kubwa ni ipi na ulaji wa mafuta unatofautiana au upo sawa na spear ni tofauti au sawa kwa bei nahitaji kujua kwa mtalaamu
 
wadau habarini za jion samahani naomba kuuliza ist 1NZ ingine 1490cc na ist 2NZ engine 1290cc kati ya hizo kubwa ni ipi na ulaji wa mafuta unatofautiana au upo sawa na spear ni tofauti au sawa kwa bei nahitaji kujua kwa mtalaamu

Cubic centimeter (cc) kubwa na engine ni kubwa.
 
msaada plz ford escape v6 ilipoteza ufunguo nimenunua ufunguo ila bado haiwaki
mkuu hiyo ford escape ni ya mwaka gani?? na je funguo umeinunu wapi?? uliagiza au uliinunua au kuichonga tuu mtaani??
kama uliagiza i hope uliagiza funguo yenye chip.

kwani upo wapi??
mkoa gani??
kama upo dar itakuwa rahisi ni kazi ya dk kama 5 hivi unaprogram /unaitambulisha hiyo funguo kwenye control box na gari itawaka bila tatizo lolote mkuu??
0717228064 ni chek
 
Wakuu natumai mu wazima wa afya j4 ya leo.Ninaomba msaada wa kumpata fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI. Mimi nipo Dar es Salaam na ninahitaji fundi wa gari hizi kwani nimejulishwa mafundi wengi wa magari hapa TZ hawana ujuzi wa magari haya na huweza liongezea tatizo zaidi kuliko kulitibu.Natanguliza shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…