Ricardo Damiano
Senior Member
- Nov 4, 2011
- 103
- 80
mkuu unataka fundi wa gdi wa sekta gani??Wakuu natumai mu wazima wa afya j4 ya leo.Ninaomba msaada wa kumpata fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI. Mimi nipo Dar es Salaam na ninahitaji fundi wa gari hizi kwani nimejulishwa mafundi wengi wa magari hapa TZ hawana ujuzi wa magari haya na huweza liongezea tatizo zaidi kuliko kulitibu.Natanguliza shukrani.
@Tiba asante nipe muda kidoogo ila hiyo codes zinahusikaMshana Jr,
Hebu nisaidie kidogo hapa. Nini maana ya alama ya T/AP nyekundu kwenye dash board? Gari linaonyesha hii alama na hata ukiweka drive gari halitembei na hata ukireverse gari haliondoki? Aina ya gari ni Totyota LandCruiser VX V8. Ukiwasha engine inawaka kama kawaida.
Niambie tatizo ni nini? Otherwise happy new year 2016. By the way umekuwa wa kwanza kutakiwa happy new year na mimi.
Tiba
Lege hyo code reader ikoj mkuuunaishi kijiji gani boss?? kwa nissan mkuu ushauri wangu mkubwa ili uendelee kuipenda gari yako na usiiharibu tafuta mashine uipime na nenda kwa fundi ambaye anaweza kurekebisha maana now watu wengi wamenunua mashine kwa lengo la kupima tuu wanakutoa pesa zako wanakwambia tushakupimia na kuclear fault code unawapa pesa yao wanasepa.
mashine ni kama pen kwa karani ndio kifaa chake cha kazi.
hivyo anakupimia na kukurekebishia pia.
nakingine watanzania tuache kuwa nyuma kwa kila jambo suala kama lako hilo ni jepesi sana mbona.
unamiliki gari ya milion zaidi ya tano unashindwa kununua code reader ya $50 kwaajili ya kuchekia matatizo yako kwenye gari??
unamiliki smart phone ya laki 5 or 4 au hata laki na nusu unashindwa kununua obd 2 socket ya blue tooth unakuwa unachomeka kwenye gari na kufiagnosis gari yako kwa kutumia simu yako?? wakati garama ya hizo blue tooth soketi za obd 2 ni kama $9 or 10 nakitu tuu??
ilipaswa mnapokuja humu muwe mnasema jamani mwenzenu nime pima gari yangu na nimepata fault code hii example P0135 CKP circuirt malfunctio
je inamaana gani?? au hiyo ckp kwenye nissan x trail inakaa wapi?? ndio unapewa msaada stahiki.
now unauliza swali ambalo ni rahisi sana harafu ni gumu.kwa mm binafsi lipo ndani ya uwexo wangu lkn kwa style yako lipo nje ya uwezo wangu.
ungekuwa upo dar ningekwambia nitafute mm nitakupimia bure kabisa ki JF lakini spea juu yako kama itahitajika.
au kama unaweza fika dar poa.
magari mengi yanakufa na kuharibika zaidi kwajili ya nyie wamiliki kutokuyapa tiba stahiki.
na kwanisani ilivyo ukiitengeneza kienyeji utajuta na huto kaa uje uzipende tena gari za nissan
Transmission oil zinatofautiana sana sio kati ya cvt. Peke yake. Nakushauri usome stick ya gari husika,kwani ukibadilisha wrong transmission utaua gear boxHabarini jamani! Naomba kuuliza kama kuna tofauti ya transmission ya automatic na automatic CVT katika utendaji wake wa kazi ama ni kitu kimoja!?
Kuna MTU alicheza Na gear level ya 4 wheel drive Na kushindwa kuirudisha kwenye nafasi Yake. As a result Gari ilikuwa haiwezi kumove. Alikuja mtaalamu akarudisha hiyo gear level kwenye nafasi sahihi, hiyo Alana ya A/TP iliondoka Na Gari lilianza kutembea.Poa shida ilikuwa nini?
Du OK pole sana ungekutana na mtu asiye mwaminifu angekupiga helaKuna MTU alicheza Na gear level ya 4 wheel drive Na kushindwa kuirudisha kwenye nafasi Yake. As a result Gari ilikuwa haiwezi kumove. Alikuja mtaalamu akarudisha hiyo gear level kwenye nafasi sahihi, hiyo Alana ya A/TP iliondoka Na Gari lilianza kutembea.
Maelezo hayajitoshelezi kitakachotokea hapa ni assumptions na guess works nyingi kitu ambacho si kizuri kwake na kwa forum pia
Yaani imebidi nicheke tu eti ugonjwa wa kudumunafikiria kununua run x , je hii gari ina ugonjwa wowote wa kudumu?