Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu natumai mu wazima wa afya j4 ya leo.Ninaomba msaada wa kumpata fundi specialist wa Mitsubishi Pajero GDI. Mimi nipo Dar es Salaam na ninahitaji fundi wa gari hizi kwani nimejulishwa mafundi wengi wa magari hapa TZ hawana ujuzi wa magari haya na huweza liongezea tatizo zaidi kuliko kulitibu.Natanguliza shukrani.
mkuu unataka fundi wa gdi wa sekta gani??
ww nyosha maelezo tuu kuwa gari yako inamatatizo gani ili usaidiwe.
siunajua tena jf ni zaidi ya hao ma specialist unao watafuta??

funguka ufunguliwe
 
wadau mnisaidie ufahau juu ya engine D4 na changamito zake na kuna tofauti gn ya kiutendaji kati D4 na 3S engine..
 
Mshana Jr,

Hebu nisaidie kidogo hapa. Nini maana ya alama ya T/AP nyekundu kwenye dash board? Gari linaonyesha hii alama na hata ukiweka drive gari halitembei na hata ukireverse gari haliondoki? Aina ya gari ni Totyota LandCruiser VX V8. Ukiwasha engine inawaka kama kawaida.

Niambie tatizo ni nini? Otherwise happy new year 2016. By the way umekuwa wa kwanza kutakiwa happy new year na mimi.

Tiba
 
Mshana Jr,

Hebu nisaidie kidogo hapa. Nini maana ya alama ya T/AP nyekundu kwenye dash board? Gari linaonyesha hii alama na hata ukiweka drive gari halitembei na hata ukireverse gari haliondoki? Aina ya gari ni Totyota LandCruiser VX V8. Ukiwasha engine inawaka kama kawaida.

Niambie tatizo ni nini? Otherwise happy new year 2016. By the way umekuwa wa kwanza kutakiwa happy new year na mimi.

Tiba
@Tiba asante nipe muda kidoogo ila hiyo codes zinahusika
 
Habari wakuu! Naomba kujua ubora na efficiency ya Mazda Axela (Mazda 3). Nna lengo la kuagiza ya cc 1500 au 2000, ila kabla sijafanya hivyo nadhani ni vyema kuomba ushauri kwa wanaozijua na wazoefu wa magari kwa ujumla.
Happy New Year 2016!
 
unaishi kijiji gani boss?? kwa nissan mkuu ushauri wangu mkubwa ili uendelee kuipenda gari yako na usiiharibu tafuta mashine uipime na nenda kwa fundi ambaye anaweza kurekebisha maana now watu wengi wamenunua mashine kwa lengo la kupima tuu wanakutoa pesa zako wanakwambia tushakupimia na kuclear fault code unawapa pesa yao wanasepa.

mashine ni kama pen kwa karani ndio kifaa chake cha kazi.

hivyo anakupimia na kukurekebishia pia.

nakingine watanzania tuache kuwa nyuma kwa kila jambo suala kama lako hilo ni jepesi sana mbona.
unamiliki gari ya milion zaidi ya tano unashindwa kununua code reader ya $50 kwaajili ya kuchekia matatizo yako kwenye gari??

unamiliki smart phone ya laki 5 or 4 au hata laki na nusu unashindwa kununua obd 2 socket ya blue tooth unakuwa unachomeka kwenye gari na kufiagnosis gari yako kwa kutumia simu yako?? wakati garama ya hizo blue tooth soketi za obd 2 ni kama $9 or 10 nakitu tuu??

ilipaswa mnapokuja humu muwe mnasema jamani mwenzenu nime pima gari yangu na nimepata fault code hii example P0135 CKP circuirt malfunctio
je inamaana gani?? au hiyo ckp kwenye nissan x trail inakaa wapi?? ndio unapewa msaada stahiki.

now unauliza swali ambalo ni rahisi sana harafu ni gumu.kwa mm binafsi lipo ndani ya uwexo wangu lkn kwa style yako lipo nje ya uwezo wangu.

ungekuwa upo dar ningekwambia nitafute mm nitakupimia bure kabisa ki JF lakini spea juu yako kama itahitajika.

au kama unaweza fika dar poa.

magari mengi yanakufa na kuharibika zaidi kwajili ya nyie wamiliki kutokuyapa tiba stahiki.

na kwanisani ilivyo ukiitengeneza kienyeji utajuta na huto kaa uje uzipende tena gari za nissan
Lege hyo code reader ikoj mkuu
 
Heri ya mwaka mpya!
please Mshana Jr naomba uni-add kwenye whatsapp group.. 0689269588
 
Mshana nisaidie ufahamu juu ya engine D4 na changamoto zake na kuna tofauti gn ya kiutendaji kati engineD4 na 3S engine..?
 
Habarini jamani! Naomba kuuliza kama kuna tofauti ya transmission ya automatic na automatic CVT katika utendaji wake wa kazi ama ni kitu kimoja!?
Transmission oil zinatofautiana sana sio kati ya cvt. Peke yake. Nakushauri usome stick ya gari husika,kwani ukibadilisha wrong transmission utaua gear box
 
Poa shida ilikuwa nini?
Kuna MTU alicheza Na gear level ya 4 wheel drive Na kushindwa kuirudisha kwenye nafasi Yake. As a result Gari ilikuwa haiwezi kumove. Alikuja mtaalamu akarudisha hiyo gear level kwenye nafasi sahihi, hiyo Alana ya A/TP iliondoka Na Gari lilianza kutembea.
 
Kuna MTU alicheza Na gear level ya 4 wheel drive Na kushindwa kuirudisha kwenye nafasi Yake. As a result Gari ilikuwa haiwezi kumove. Alikuja mtaalamu akarudisha hiyo gear level kwenye nafasi sahihi, hiyo Alana ya A/TP iliondoka Na Gari lilianza kutembea.
Du OK pole sana ungekutana na mtu asiye mwaminifu angekupiga hela
 
Habari Wakuu
Naomba kueleimishwa tofauti kati ya Toyota Grand Mark 2 na Toyota Mark X katika mambo haya
1. Ubora/uimara
2. Ukubwa wa injini
3. Gharama za service
4. Mifumo ya kiumeme
5. Mengineyo mnayojua zaidi
Matumizi yake ni pamoja na safari ndefu kama za Dar to Tunduma na kuna wakati ntahitaji kupita barabara za vumbi
Nawasilisha
 
gari kuwa na RPM kubwa at silence zaidi ya 1.5 , je ni dalili ya tatizo au ni kawaida?
 
Maelezo hayajitoshelezi kitakachotokea hapa ni assumptions na guess works nyingi kitu ambacho si kizuri kwake na kwa forum pia

Aseme kama kacheck stab bush.....stab link....rack hand......butty rubber......kama zipo sawa zote......tuchimbue zaidi........
 
Back
Top Bottom