kama upo dar nicheki PM Cd zipo za kutosha sio za kuuza lkn ila ukija itakayo kubali kufungua redio yako tunaweza kukufanyia mpango wa copy yakeWadau...nimeagiza noah...imefika ina radio haina peoner...(sina hakika na spellings). Sasa hii kitu inasema niweke insert correct cd. Nimedokezwa kuwa hii inatakiwa cd maalumu ili radio ifungunge...sasa naomba kujuzwa naweza pata wapi hizo cd maalumu ili kufungua hii muziki
Gawia ndugu, sio kila gari lazima uuze ondoa dhana hiyo. Ukimpa mdg wako au mama kule bush watakuona wa maana mnooISUZU BIG HORN gari ya kuleta umaskini mwaka wa 3 sijapata mteja maana nishachoka nalo linakunywa mafuta ka limetumwa
Ni kweli, asipokuwa makini mwisho "litamfia" mikononi mwake!Gawia ndugu, sio kila gari lazima uuze ondoa dhana hiyo. Ukimpa mdg wako au mama kule bush watakuona wa maana mnoo
Ni kweli, asipokuwa makini mwisho "litamfia" mikononi mwake!
Mshana bhana ....kama chinua achebe...nimekuelewa kaka!!Duet mnyama passo mboga
mkuu.hiyo big horn yako inatumia engine gani??ISUZU BIG HORN gari ya kuleta umaskini mwaka wa 3 sijapata mteja maana nishachoka nalo linakunywa mafuta ka limetumwa
UsithubutuWadau..naomba maoni yenu ya kiusalama....nataka kusafiri usiku kuanzia saa tisa kuelekea moshi kupitia njia ya msata....! Naomba maoni yenu je ni salama kupita njia hyo kwa usiku wa saa tisa??!
Asante kiongozi....! Safar yangu nimeifanya jana....ingawa nilikuwa nahofia kuwa naweza kupimwa tezi dume maeneo yale...lakin nimekatiza mida ya saa nane kuelekea saa tisa usiku bila shida yyte. Hata hvo sishauri sana watu kuiga...bse...kwakweli unaweza kupimwa tezi dume bila hiari yako!Usithubutu
Na wewe pia usizoee kabisa hiyo manenoAsante kiongozi....! Safar yangu nimeifanya jana....ingawa nilikuwa nahofia kuwa naweza kupimwa tezi dume maeneo yale...lakin nimekatiza mida ya saa nane kuelekea saa tisa usiku bila shida yyte. Hata hvo sishauri sana watu kuiga...bse...kwakweli unaweza kupimwa tezi dume bila hiari yako!
Usijaribu hata siku mojaWadau..naomba maoni yenu ya kiusalama....nataka kusafiri usiku kuanzia saa tisa kuelekea moshi kupitia njia ya msata....! Naomba maoni yenu je ni salama kupita njia hyo kwa usiku wa saa tisa??!