Achana na mengine yote ingia mtandaoni search aina ya gari weka tatizo lako hapo utasaidika kwa uhakika zaidiHabari zenu wakuu, Jamani nimepoteza ufunguo wa Nissan Micra ambao una sensor, sasa gari haliwezi kuwaka kwa sababu mpaka ufunguo wenye sensor pekee ndio unaweza kuliwasha. Nimejaribu kufuatilia kwa mafundi ili nione uwezekano wa kubadilisha control box ili niweke ya Nissan March lakini sijapata fundi anaenishauri vizuri. Naombeni Msaada kama kuna mtu anaweza kunitegulia kitendawili hiki kwani kwa sasa inabidi nitembee kwa miguu wakati usafiri ninao.
Asanteni
mkuu 0717228064 tutafutane yote yanawezekana kufunga control box nyingine au kukuchongea funguo nyingine yenye sensor wapatikana wapi hata kama upo mkoani utafuatwa tuu.tutafanyiana bei za ki JF zaidiHabari zenu wakuu, Jamani nimepoteza ufunguo wa Nissan Micra ambao una sensor, sasa gari haliwezi kuwaka kwa sababu mpaka ufunguo wenye sensor pekee ndio unaweza kuliwasha. Nimejaribu kufuatilia kwa mafundi ili nione uwezekano wa kubadilisha control box ili niweke ya Nissan March lakini sijapata fundi anaenishauri vizuri. Naombeni Msaada kama kuna mtu anaweza kunitegulia kitendawili hiki kwani kwa sasa inabidi nitembee kwa miguu wakati usafiri ninao.
Asanteni
haya fanya hivi nenda kwenye kila mlango shusha kioo mpaka chini then pandisha mpaka juu harafu hold switch kwa kupandisha juu kama sekunde 10 hivi taa iliyopo kwenye switch ya kupandishia kioo itaacha kublink,flush.hamia kwenye mlango mwingine mpaka umalize yote kasoro wa dereva tuu.Habari wakuu, nimebadirisha betri , gari ilikuja na betri ya N 40 nikashauliwa kuweka betri ya N 50 , baada tu ya kubadirisha power window ya mlango wa dereva haiwezi kucontrol milango mingine, pia kuna kitaa hapo kwenye power window kinawaka na kuzima. Msaada tutani.
hiyo kitu bongo hakuna mkuuUna maanisha Gps tracker? Mmh hiyo kwa Tz inafanya kazi kweli? Napata wsws anyway jaribu tu
haya fanya hivi nenda kwenye kila mlango shusha kioo mpaka chini then pandisha mpaka juu harafu hold switch kwa kupandisha juu kama sekunde 10 hivi taa iliyopo kwenye switch ya kupandishia kioo itaacha kublink,flush.hamia kwenye mlango mwingine mpaka umalize yote kasoro wa dereva tuu.
then nirushie jero ya vocha
Andaa m2-2.5 kuna jamaa anaitwa Makufuli yuko mtaa wa Rwegasore mwanza wanakuagizia funguo mpyaHabari zenu wakuu, Jamani nimepoteza ufunguo wa Nissan Micra ambao una sensor, sasa gari haliwezi kuwaka kwa sababu mpaka ufunguo wenye sensor pekee ndio unaweza kuliwasha. Nimejaribu kufuatilia kwa mafundi ili nione uwezekano wa kubadilisha control box ili niweke ya Nissan March lakini sijapata fundi anaenishauri vizuri. Naombeni Msaada kama kuna mtu anaweza kunitegulia kitendawili hiki kwani kwa sasa inabidi nitembee kwa miguu wakati usafiri ninao.
Asanteni