itagata
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 210
- 71
Sijakuelewa kaka, unamaanisha milioni 2-2.5 au?Andaa m2-2.5 kuna jamaa anaitwa Makufuli yuko mtaa wa Rwegasore mwanza wanakuagizia funguo mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuelewa kaka, unamaanisha milioni 2-2.5 au?Andaa m2-2.5 kuna jamaa anaitwa Makufuli yuko mtaa wa Rwegasore mwanza wanakuagizia funguo mpya
Asante niko mikoani ntakupigiamkuu 0717228064 tutafutane yote yanawezekana kufunga control box nyingine au kukuchongea funguo nyingine yenye sensor wapatikana wapi hata kama upo mkoani utafuatwa tuu.tutafanyiana bei za ki JF zaidi
Asante Mshana JrAchana na mengine yote ingia mtandaoni search aina ya gari weka tatizo lako hapo utasaidika kwa uhakika zaidi
na mi naomba kuuliza kuhusu engine oil nna gari yangu toyota raum 2005 model ndo imefika toka japan ina engine ya 1NZ-Fe 1498cc nataka kubadili engine oil kwenye manual book wamerecommend 5W-30 ambayo nimetafuta dar nzima hakuna, mafundi wengi wameniambia niweke total au castrol 20W-50. Je hii oil inafaa kwenye hii engine?
Jamani Kuna ishu hii ya kumwaga oil kila baada ya km 3000 sielewi kabisa. Nimepita kwenye website ya Toyota inaonyesha models zao nyingi unatakiwa kumwaga oil after 15000 km hii inakuwaje wadau.
dar es salaam mwengeNimeipenda hyo Mr Lege, hivi unapatikana wapi vile?
Mmh ni vgari vipya vinafaa kwa matumizi mepesi spare bado hazijawa nyingi ila zipo fuel consumption vinanusa, uimara ni tofauti na GX 100 yani havimfikii huyo mnyamaWakuu lege,mshana jr na wengine,heshima kwenu,naomba kujua kidogo kuhusu hii gari inaitwa mazda demio,uimara,mafuta,upatkanaji wa spare,plz nataka kuchukua,Thanks in advance.
Kuna shida kwenye gearbox hydraulic haipandi haraka na kuingia kwenye system ya gearHii ni nzuri kwa msaada. Ndugu zangu natumia kagari kangu PASSO ila naona kameanza mchezo wa kustuka yaani mfano nimepaki nakawasha naingiza gia yoyote iwe R au D inaganda kwanza alafu inastuka ndio ianze kwenda, msaada wenu tatizo laweza kuwa ni nini?
Nasubiri jibu
Kwa ushauri wangu binafsi chukua Honda CRV Rd 4 au 5Naombeni ushauri wakuu. Nataka kununua moja wapo kati ya gari hizi: NISSAN X-TRAIL, FORD ESCAPE, MAZDA TRIBUTE, SUBARU FORESTER au HONDA CRV. Ni kwa ajili ya shughuli zangu nyingi za nje ya mji ambapo barabara siyo lami hivyo nahitaji gari iliyonyanyuka juu. Mwenye uzoefu na gari hizo tafadhali naomba ushauri
unawasha left kwa Tanzania ikimaanisha unamruhusu mwenzio kupita na kama ukiwasha ya kulia maana unamwambia asipite kwani mbele kuna eidha tatizo au kuna gari nyingine unayokaribia kupishana nayoMTU akiniomba kupita nikimruhusu aniovatake, nawasha handcator ipi, left au right? Na inamaana gani