Kati ya hizo zote uzoefu Wangu uko kwenye IST hiyo naweza kukushauri uchukueMshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyoKati ya hizo zote uzoefu Wangu uko kwenye IST hiyo naweza kukushauri uchukue
Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyoKati ya hizo zote uzoefu Wangu uko kwenye IST hiyo naweza kukushauri uchukue
Ok ok kwakweli hili nilikuwa silijuiMshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo
Mshana,belta na ist zote zinatumia engine moja ya 1NZ FE. Angalia list ya magari inayotumia engine hiyo
Tofautisha ipo kwenye fuel consumption tu vitu vingine vyote ni kama vinafananaAsante sana Mshana kwa maelezo yako murua kweli itabidi niopt Ist pia kwa manufaa yangu nawengine unaweza saidia faida na hasara ya Ist cc 1290 na Ist cc 1490
chukua premio mkuu powa zaidiMshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
Kwa Kua unahitaji gari ya kuitumia pamoja na Familia angalia Ile yenye room ndani, ambayo ni comfortable... Raum itakufaa zaidi. Lakini IST ni nzuri pia na haito kusumbua pindi ukiamua kuachana nayo.Mshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
Mshana Jr binafsi sijawahi kumiliki gari ila imefika wakati nahitaji kununua kwa ajili ya matumizi ya familia hapa mjini na Mara moja moja kwenda likizo kutoka mbeya kwenda kahama naomba ushauri kati ya gari hizi IPI itanifaaa Ist cc 1299,Toyota belta cc 1290,Toyota premio cc 1490,corolla axio cc 1490 na Toyota raum,ipi itanifaa zaidi ?
Fungua mlango wa dereva kwenye ukingo wa mlango karibu na lock kuna sticker imebandikwa ina recommended tyre size ya gari yakoWakuu nataka kubadilisha tyre za ist, ni tyre gani nzuri kwa bei reasonable kulinganisha na nyingine?
dar es salaam mwenge
Nashukuru mkuu,ila nikijuwa nahitaji kujua aina ya tyre mf:yokohama,yana,king rion n.k ipi ni nzuri na kwa bei reasonable..Fungua mlango wa dereva kwenye ukingo wa mlango karibu na lock kuna sticker imebandikwa ina recommended tyre size ya gari yako
Weka tairi imara achana na ulinganifu wa bei, angalia njia/barabara unayotembea macorrogation yaliyopo, ndio yakupe chaguo la tyre husika.Nashukuru mkuu,ila nikijuwa nahitaji kujua aina ya tyre mf:yokohama,yana,king rion n.k ipi ni nzuri na kwa bei reasonable..
Kwa siku natembea km 40, nusu ni lough raod,nusu nyingine ni lami,je ni tyre gani zinafaa?Weka tairi imara achana na ulinganifu wa bei, angalia njia/barabara unayotembea macorrogation yaliyopo, ndio yakupe chaguo la tyre husika.
Baada ya muda itapanda tu ni bora ukiwa kituoni ukalizima gari ni ushauri kwa vituo yoteNikijaza wese wakati gari ipo switch on gauge haipandi kwa nini wadau? Hii kitu imenitokea mara ya pili sasa na gari tofauti tofauti
Ni gari aina gani?Habari wakuu, nimebadirisha betri , gari ilikuja na betri ya N 40 nikashauliwa kuweka betri ya N 50 , baada tu ya kubadirisha power window ya mlango wa dereva haiwezi kucontrol milango mingine, pia kuna kitaa hapo kwenye power window kinawaka na kuzima. Msaada tutani.