Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo langu ni tundu moja la ku sprinkle maji kwenye kioo cha mbele hairushi maji...inarusha moja tu
Tatizo langu ni tundu moja la ku sprinkle maji kwenye kioo cha mbele hairushi maji...inarusha moja tu
Tatizo langu ni tundu moja la ku sprinkle maji kwenye kioo cha mbele hairushi maji...inarusha moja tu[/
chukua sindano au pini au kitu chochote chenye ncha ndogo sana then chokono hilo tundu lililoziba huku mtu anapress switch ya kurusha maji ya weper.epuka kutumia sabauni ya unga kwenye mitungi ya maji ya weper bali tumia sabuni ya maji.sabuni ya unga huwa inachangia sana kuziba v
Naongezea swali kwenye hili aliloulizia mdau hapa, imeshanitokea mimi pia taa zote za hatari kuanzia taa alarm ya ABS, HAND BREAK, CHA MAFUTA yani vyote vinawaka na gari limekaguliwa lote hakuna tatizo lakini taa za hatari zinawaka, nimetoka dar mpaka arusha taa zilikuwa zinawaka mafundi wameshahangaika lakini wapi taa zinawaka, na nimetoka kwa umbali wote huo na gari sio mbovu wala nini gari ni IST.. Msaada plzWakuu taa ya alarm ya ABS ikiwaka inamaanisha nini kwenye Gari?
Naongezea swali kwenye hili aliloulizia mdau hapa, imeshanitokea mimi pia taa zote za hatari kuanzia taa alarm ya ABS, HAND BREAK, CHA MAFUTA yani vyote vinawaka na gari limekaguliwa lote hakuna tatizo lakini taa za hatari zinawaka, nimetoka dar mpaka arusha taa zilikuwa zinawaka mafundi wameshahangaika lakini wapi taa zinawaka, na nimetoka kwa umbali wote huo na gari sio mbovu wala nini gari ni IST.. Msaada plz
Ingiza funguo kwenye gari halafu uwe unajaribu kuwasha huku unanyonga mskaniNaomba msaada jaman nilnuonga uskani wakat gar limezima cha ajabu sasa hivi niingiza funguo hazunguki kuwasha gar
Ingiza funguo kwenye gari halafu uwe unajaribu kuwasha huku unanyonga mskani
Inafika kumi na mbili.Raum kwa yard za hapa nchini inaenda kwa bei gani!???
Asante sana Mshana jr.Nenda Ngabani kijitonyama
Ukivaa miwani myeusi au ya rangi, hua mwanga wa jua unauonaJe.?Hivi ukizifanyia tinted headlights zinakuwa zinatoa mwanga vizuri??
Ukiihitaji, just pm Me...Raum kwa yard za hapa nchini inaenda kwa bei gani!???
Mkuu lipo moja kkoo, mbele kdogo ya big bon ukiwa km unaenda fire, kushoto kwako.. Ila uende vizur wanatizama uso ukienda kichwa kichwa wanakupiga spea ya 70 elfu utaskia lak 2, hawajakupigia hesabu ya kodi ya uwongo hapo.. Wezi kwel jamaa wale.Habari za wkend wadau! Naomba anayejua duka la vipuri vipya vya nissan kwa hapa dar anielekeze.
Asante.
gari ina missWakuuu na gari aina ya passo sasa majuzi wakati naendesha ikaanza kupiga makerere na kutetemeka mwanzoni nlijua labda kwa kua mafuta yalikua kidogo, nlivyo weka bado tatiz likiendelea mara hii ata gari imekua aina nguvu kabisa ata ukikanyaga mafuta inatembea mwendo mdogo tofaut na awali, tatizo itakua nin wakuuu
Asante mkuugari ina miss