Mkuuu kiaje hapoPole sana lasso ishaenda hiyo
KimekufaNimeshajaribu mara kadhaa sijajua hasa kina kazi gani hadi leo.....
Mkuu hiyo CHECK ENGINE WARNING LIGHT, ni vema ukamuona technician haraka!Wakuuu hii alama hapa inamaanisha nin na ikiwepo hapo tatizo ni nin maana leo siku nzima ijazima inawaka tu
View attachment 404388
hi,gari ina miss
Wakuuu hii alama hapa inamaanisha nin na ikiwepo hapo tatizo ni nin maana leo siku nzima ijazima inawaka tu
View attachment 404388
Wadau napenda kujua nini kazi ya thermostat kwenye gari na je ikitolewa ina madhara gn?
Kuna kifaa kinaitwa Digital Music Changer, unakiunganisha kwenye radio ya gari, then kinakupa uwezo wa kutumia flash disc na aux port kwa kuwa operated na radio yako kama vile umeweka cd.mshana jr, [MENTION]Kaizer[/MENTION] [MENTION]PRONDO[/MENTION] na wakuu wengine, radio ya gari yangu Mark Ten haina usb port, nimekuwa mtu wa maCD na radio stations, wakati mwingine natamani nitumie flash nashindwa. Nifanyaje? Kuna option ya kuweza kuongeza hiyo??
kwanini gari nyingi zenye piston tatu zina ugonjwa wa kutetemeka ukiwasha hasa kwenye steling&[HASHTAG]#65311[/HASHTAG];.mfano passo.piston tatu na nyingine&[HASHTAG]#65311[/HASHTAG];
Msaada jamani Raum inaonesha hivi kwenye Dashboard
Io ni symbol ya master warning light, tembelea kwa fundi kabla tatizo kuwa kubwaMsaada jamani Raum inaonesha hivi kwenye Dashboard
Io ni symbol ya master warning light, tembelea kwa fundi kabla tatizo kuwa kubwa
Hapo mkuuu ni low oil pressure , au remainder ya kubadilisha oil mkuuuUfafanuzi Mkuu ktk hilo
sio kweliHapo mkuuu ni low oil pressure , au remainder ya kubadilisha oil mkuuu
sio kweli
Bolts n nuts kulegea kwenye mfumo mzima wa engine
Plugs za kubadili
Tyre zina nundu
Engine za piston/cylinder chache huwa zinatetemeka kwa sababu kunapokua na idadi chache ya cylinder, crank shaft inacheza cheza saana. Na kunakua hakuana kitu wanaita counter weight ili kupunguza vibration.