Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,250
Akhsante ndugu yangu.Inategemea kuna six na four cylinders... Hapo swala la fuel limepata ufumbuzi uchague ipi.
Kwa bodi Grand ni mkorosho unatengenezeka na spare zake nafuu.
NB:uimara wa gari sometimes ni matumizi yako mwenyewe. Unazingatia services... Unaliendeshaje kama rally au unaenda harusini vyote hivi hufanya gari iwe imara au la.
Sidhani kama Grande Mark II kuna yenye engine ya 4 cylinders. Ninachojua zote ni 6 cylinders. Tofauti ni cc. GX110 ina engine ya 1G FE ambayo ni cc2000 na kuna JZX110 ambayo ina engine ya 1JZ-FSE ambayo ni cc2500.Inategemea kuna six na four cylinders... Hapo swala la fuel limepata ufumbuzi uchague ipi.
Kwa bodi Grand ni mkorosho unatengenezeka na spare zake nafuu.
NB:uimara wa gari sometimes ni matumizi yako mwenyewe. Unazingatia services... Unaliendeshaje kama rally au unaenda harusini vyote hivi hufanya gari iwe imara au la.
vipi bado unayo na vipi 1litr inaenda km nqap??? na vipi kama unajua msaada ukiagiza from Japan bei INA range ngapiKwangu Mimi, ukinambia pajero mini haitaki shida, nashangaa, Mimi ninayo, marafiki zangu wanaiita hardworker. Niliyonayo ni ya mwaka 1995, nasafiri nayo rough road na kwa hivi imeinuka kidogo, inadunda vizuri tu sana name safari zangu nyingi ni ndefu zaidi ya km elfu moja, name huwa sipumziki. Naipenda sana, sema kwa udogo wake, comfortability take so nzuri.
Mhh zile vimeo ni substandard maduka mengi ya radio za magari zipo
Spacio inafaa sana kama uchumi wako ni wa chini, spare nyingi na nafuu, nissan zote ni ghali hasa services zakeMkuu naomba msaada kati ya gari hizi ipi ni inafaa kwa mtu wa gari za kawaida spacio,toyota run x na nissan tiida mkuu natka moja wapo hapo nichukue?!!!
Ahsanteh sana mkuu ko hata Runx na allex hazina unafuu mbele ya spacio?Spacio inafaa sana kama uchumi wako ni wa chini, spare nyingi na nafuu, nissan zote ni ghali hasa services zake
Siku zote ukitaka kununua gari na mzunguko wa pesa yako sio mkubwa, chagua magari ambayo yapo kwa wingi mtaani, kwani lazima spare zake zitakuwepo kwa wingi madukani, runx bado sanaAhsanteh sana mkuu ko hata Runx na allex hazina unafuu mbele ya spacio?
Mshana jr betri ya N50 inafaa kwenye gari premio corona cc1500?Bolts n nuts kulegea kwenye mfumo mzima wa engine
Plugs za kubadili
Tyre zina nundu
Asante sana kaka. Nisaidie ni aina gani ya betri ni nzuri zaidi.Haina shida kabisa
Asante. Ngoja nigatilie dukani.Nashauri chukua hizi dry cell jina limenitoka kidogo
Subaru aina gani mzee?kuwa specificWakuu msaada tafadhali. .
Vipi kuhusu spare parts za Subaru siku hizi zinapatikana! ?
Forester 2003Subaru aina gani mzee?kuwa specific