kama upo dar basi nenda ilala mkuu vyote unapata au hata kama upo mkoani na huko havipatikani unaweza ukafanya mawasiliano na watu waliopo dar then ukatumiwaNahitaji spea za toyota hilux surf ya mwaka 1997 bumper ya mbele ngao na taa ya kulia je naweza kuvipata wapi?
Asante boss je ilala duka gani?gari iliyopoteza bumber l6 mbele na taa hiyo mkuukama upo dar basi nenda ilala mkuu vyote unapata au hata kama upo mkoani na huko havipatikani unaweza ukafanya mawasiliano na watu waliopo dar then ukatumiwa
Ubora wake siufahamu kivile lakini spare zake ni ghali kiasi flaniNataka kununua HONDA FIT....Nani anaijua hii gari vzr au upatikanaji wa vifaa vya gari za Honda HAPA mjini!?
Mcheki koyo, yuko barabara ya uhuru, karibu na benjamini sec schoolAsante boss je ilala duka gani?gari iliyopoteza bumber l6 mbele na taa hiyo mkuuView attachment 459384
Hakika avatar yako inakufanania, umefukunyua bila masihara hatimaye umepata ukitakacho
Nouma sanaa nimefumuaa kila kitu hapaa naitwa fund magariHakika avatar yako inakufanania, umefukunyua bila masihara hatimaye umepata ukitakacho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji736]Nouma sanaa nimefumuaa kila kitu hapaa naitwa fund magari
ooppppsss!! hapo kwenye ughali tena hapo....daaa!Ubora wake siufahamu kivile lakini spare zake ni ghali kiasi flani
Siku zote magari ambayo ni machache mjini ujue na spare zake sio bei rahisiooppppsss!! hapo kwenye ughali tena hapo....daaa!
nimekupata ngoja turudi tu kwenye TOYOTA zetuSiku zote magari ambayo ni machache mjini ujue na spare zake sio bei rahisi
Ikiwa mzunguko wako kipesa ni mzuri chukua kitu roho inataka, na endapo ni za kuunga toyoto ndiyo yenyewenimekupata ngoja turudi tu kwenye TOYOTA zetu
Sorry ni Carina Ti nadhani