Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,327
Daah asante hofu imenitesa nimepigwa vumbi sana Plus kuosha kila sikuKwa kiwango cha chini mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah asante hofu imenitesa nimepigwa vumbi sana Plus kuosha kila sikuKwa kiwango cha chini mno
Kweli kabisa. Na ukiwa highway, ni gharama zaidi kufungua vioo kuliko kutumia A/CSasa hizo gharama ni kubwa kuliko kutumia AC
Ningejua mapema ingekua rahisi sana kuna jamaa alininiambiaga habari hiyo AC kula mafuta nikawa naishi kwa hofu kumbe nimejisumbua bure BT sijachelewa naapply imedietelyKweli kabisa. Na ukiwa highway, ni gharama zaidi kufungua vioo kuliko kutumia A/C
Sasa hizo gharama ni kubwa kuliko kutumia AC
Yes, kama bado inafanya kazi vizuri, hujachelewa kabisa. Compressor ya A/C inazungushwa na mkanda kutoka kwenye engine. So pale A/C inapokua on, engine inaongezewa extra load, lakini ni kidogo saana, ndio maana Mshana jr amesema inakunywa, lakini ni kidogo saana. Na mara nyingi, huwa ubaridi ukitosha, compressor inakata yenyewe mpaka kutakapokua na uhitaji tena. So, watu huwa wanaogopa tuu bure.Ningejua mapema ingekua rahisi sana kuna jamaa alininiambiaga habari hiyo AC kula mafuta nikawa naishi kwa hofu kumbe nimejisumbua bure BT sijachelewa naapply imedietely
Na Kwakweli ni kuichakaza gari kwa mavumbiYes, kama bado inafanya kazi vizuri, hujachelewa kabisa. Compressor ya A/C inazungushwa na mkanda kutoka kwenye engine. So pale A/C inapokua on, engine inaongezewa extra load, lakini ni kidogo saana, ndio maana Mshana jr amesema inakunywa, lakini ni kidogo saana. Na mara nyingi, huwa ubaridi ukitosha, compressor inakata yenyewe mpaka kutakapokua na uhitaji tena. So, watu huwa wanaogopa tuu bure.
Weka za BP kakaToyota Noah vox nahitaji kubadili ATF Kwenye Gearbox niweke ipi ilo Nzuri??
Uko mkoa gani? Kama ni Dsm, then nakushauri utafute ATF ya Toyota. Inatwa Toyata ATF Type TIV. Ni gharama kidogo, lakini ni moja kati ya best ATFs in the marketToyota Noah vox nahitaji kubadili ATF Kwenye Gearbox niweke ipi ilo Nzuri??
Uko mkoa gani? Kama ni Dsm, then nakushauri utafute ATF ya Toyota. Inatwa Toyata ATF Type TIV. Ni gharama kidogo, lakini ni moja kati ya best ATFs in the market
Daa! Kwa Mwanza niliwahi ulizia, naona bei ilikua juu saana kiasi kwamba inakua sio reasonable. Ila kama una mtu Dsm au Arusha, wanaweza kukutumia. Nafikiri kwa Dsm lita nne wanauza Sh 100,000. Mwanza niliulizia ilikua Sh 180,000.Niko Mwanza Mkuu
Daa! Kwa Mwanza niliwahi ulizia, naona bei ilikua juu saana kiasi kwamba inakua sio reasonable. Ila kama una mtu Dsm au Arusha, wanaweza kukutumia. Nafikiri kwa Dsm lita nne wanauza Sh 100,000. Mwanza niliulizia ilikua Sh 180,000.
View attachment 494935 View attachment 494936 View attachment 494937
Inategemeana na ujazo, na supplier, lakini inakua kama hizi
Kama yur a very big guy usichukue hyoJamani kuna Audi A4 nataka chukua lakini sina ujuzi sana na hizi gari. Baadhi ya specifications ni hizi;
Chassis# WAUZZZ8E44A275112
Model Code: GH-8EALT
Version: 2.0
Engine Code: ALT
Nahitaji kufahamu kuhusu hayo hapo juu.