Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

LEGE nina Toyota Raum old model. Majuzi nilibadilisha alternator, fan na timing belts. Pia nilibadilisha oil filer, oil seals na kumwaga engine oil.
Baada ya hapo nikiweka reverse gear gari haidendi mpaka baada ya kukanyaga sana mafuta. Baade tena inachelewa kubadili gear na ikiwa kwenye silence inakuwa kama inataka kuzimika, wakati mwingine inazima kabia. Ila ikiwa kwenye parking inakuwa okay.
Geabox oil haijabadiishwa kwa muda mrefu kama miaka 4 hivi.
Tatizo ni nini?
 
Hivi hizi gari vw golf 5 diesel engine huwa huwa zina matatizo gani?
Sidhani kama kuna gari linakuja na shida moja kwa moja, eti kisa tu labda ni toleo fulani au ni brand fulani.
Uimara na ubora wa gari ni matunzo yako mwenyewe tu. Kama upo rafu hata uwe na Land Rover 109 utakuja tu kusema zina shida fulani.
Cha msingi fuata masharti yaloainishwa na gari husika.
Sio gari unapeleka kwa mafundi uchwara na kila kona lina fundi.
Au Oil inatumika hadi inatoka kama maji ya jaruba za mpunga! Au waweka oil uchwara. Kwa mfano: kwanini watu wanasema Nissan xtrail ni mbovu? Oil (Magumashi)+ATF (Magumshi)+Mafundi feki= lazima useme gari bovu.
Kimsingi VW ni gari zuri kama nawe utakuwa na nidhamu nalo kwa kufuata miongozo yake na kukiuka miiko.
 
wakuu naombeni msaada Gari yangu Subaru forestar Jana imeanza kutoa mvumo flani hiv kufuatilia nkagundua ni kwenye tairi nkapiga jeki nakawa nalichezesha tairi likawa linacheza cheza, tatizo litakuwa ni nini?
 
Wakuu naomba ushauri,
nataka kununua BMW 3 series, maneno ya watu yanatisha gharama kumantain pia ni ndoa huwez kuuza.....

Kwa uzoefu wenu imekaaje hii?
 
Wakuu naomba ushauri,
nataka kununua BMW 3 series, maneno ya watu yanatisha gharama kumantain pia ni ndoa huwez kuuza.....

Kwa uzoefu wenu imekaaje hii?
 
Naomba kujua kuhusu mazda tribute, zina matatizo gani, upatikanaji wa spare, gharama za spare na ulaji wa mafuta.
Mazda tribute ina share components na dada yake Ford Escape. Ila kwa uzoefu wangu, parts zake sio nyingi mtaani. Hasa body panels. Ulaji wa mafuta unategemea na engine utakayo chagua. Ila ile 2.0L inline 4 ulaji wake haupishani saana na rav4 ya same engine. (7 to 9km per litre kwa mjini) kutegemeana na matumizi yako.
 
Kama engine inauzwa bei hiyo, ni bora anunue engine tuu.
 
Kweli kabisa. Na gari ikiwa kwenye highway ina cool kirahisi kuliko mjini.
 
Aise, hebu cheki level ya coolant. Kilishawahi nitokea kitu kama hicho.
 
Pia hakikisha ATF Level iko sawa as recommended by the manufacturer.
 
Pia hakikisha ATF Level iko sawa as recommended by the manufacturer.
asante kwa ushauri, iliwekwa BP 40 ATF badala ya DExtron A3 kwa sasa nilipata Dextron A1 angalau mlio unapotea kabisa yaani si sawa na awali maana ilikuwa hata mwingine aliye nje akidrive gari yake anasikia hio kelele. kwa sasa mlio umshuka zaidi, japo kuna miss nyingi licha ya kubadili spark na plug zake mpya origino za gari sahihi.

Sent from my XT1052 using JamiiForums mobile app
 
Acha uongo mkuu kama hujui bora kukaa kimyaa kuliko ukaongea na kusababisha hasara kwa mwomba ushauri
Ubarikiwe mkuu nilibaki kidogo tu niubebe ushari wake kilichonizuwia ni nasaha zako

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
Shukrani maana kuna fundi ameniambia kuchek engine kwa computer nimpe 50 daahh tutalizwa sana tusiojua asante kwa Uzi huu
Mkuu shukuru mungu mimi nishapigwa elfu hamsini hiyo na tatizi halikuondoka

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…