Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wasalam wataalamu, kwanza nikiri mimi sio mtaalamu wa gari kabisa zaid ya kuwasha na kuendesha tu. Nimepaki gari then nikampa funguo mshikaji, sasa kazungusha stearing baadae kutaka kuwasha gar haiwaki na hata funguo hazizunguki kabisa, yaani ni kama stearing imeji lock.
Naombeni msaada wataalam nini kimesababisha na je niite fundi kabisa?
 
Wasalam wataalamu, kwanza nikiri mimi sio mtaalamu wa gari kabisa zaid ya kuwasha na kuendesha tu. Nimepaki gari then nikampa funguo mshikaji, sasa kazungusha stearing baadae kutaka kuwasha gar haiwaki na hata funguo hazizunguki kabisa, yaani ni kama stearing imeji lock.
Naombeni msaada wataalam nini kimesababisha na je niite fundi kabisa?
Tatizo umezungusha steering kabla ya kuwasha! Ila weka ufungua, ukiwa unazungusha kulia kushoto then washa. Steering imejilock
 
IMG_20170616_111806_306.jpg
msaada jmn hivyo vitaa vinamaana gani ukiwasha gari vinatokea
 
Wakuu habari za humu ndani..
Naombeni kujua kama kuna madhara yeyote kama engine oil itazid yani kuvuka kili kidot cha juu cha kwenye stick
 
Wakuu habari za humu ndani..
Naombeni kujua kama kuna madhara yeyote kama engine oil itazid yani kuvuka kili kidot cha juu cha kwenye stick
Madhara yapo makubwa tuu mkuu.

Usitumie.hivyo fanya mpango uipunguze.
Kwanza inaweza kuharibu seal mbali mbali za kwenye engine.inaweza fumua seal na hata kuludisha au pandisha oil kwenye mainford na kama gari ya turbo unaweza ua,haribu turbo
 
Hello, nna shida na check engine kwenye gari, inawaka mda wote hata ukiwa umewasha gari,
Mafundi walisema sensor wamebadili lakini bado, naambiwa tupeleke temeke kucheki kwenye computer Elf 50 checking tu! Ni sahii au napigwa?
Wenye ujuzi tatizo la check engine kuwaka hutokana na nini?

Gari ni Vits ya 1999
Badili vvt-i switch basi.
 
Msaada wenu gari timing belt ilikatika nikaivuta mpaka mjini sasa nimebadili hiyo timing belt gari imewaka ina misi ya hatari kabisa sasa hawa mafundi wananiambia itakuwa imeharibu vitu vingi sana kwenye engine maana ilipo nizimikia nilijaribu kuiwasha sasa fundi anasema ndio nilifanya makosa hapo sasa amenitajia vitu vingi Mimi sio fundi sivijui ghalama yake anasema inafika 500000 na gari ni cresta gx100 vvti
Badili cylinder head......imekufa
 
Back
Top Bottom