Niwe mkweli kwenye hili hizi gari sina uzoefu nazo kabisaMkuu naomba uniambie zaidi kuhusu hizi wanaita VolksWagen Passat, kwa kila kitu kwa ujumla??
Hasa spea availability, fuel economy na uwezo wa kwenda masaa marefu kama 1000km bila kuchemsha??
Engine ipi nzuri...1.4T TSI petrol ama 1.6TDi ama 2.0TDi diesel??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Mkuu ila vp VolkSwagen kwa ujumla kwa mazingira ya TanzaniaNiwe mkweli kwenye hili hizi gari sina uzoefu nazo kabisa
Jr[emoji769]
Nenda ofisi ya TRA iliyokaribu utasaidiwa...Habari GTs,Je, naweza kujua mtu anamiliki gari aina gani kwa kutumia TIN No tu?Na kama ndio,naomba msaada plz kwa namba hii, 105-680-732,Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda TRA investigation departmentMkuu naomba uniambie zaidi kuhusu hizi wanaita VolksWagen Passat, kwa kila kitu kwa ujumla??
Hasa spea availability, fuel economy na uwezo wa kwenda masaa marefu kama 1000km bila kuchemsha??
Engine ipi nzuri...1.4T TSI petrol ama 1.6TDi ama 2.0TDi diesel??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Mkuu si wanasema spea za European cars zinapatikana Tanzania kwa sasa??Tatizo ni spare ila nazikubali sana hasa VW CARAVELLE
Jr[emoji769]
Mkuu pia naomba uniambie hivii hii misamaha ya kodi ya kuagiza magari kwa wafanyakazi wa umma bado inapatikana ama walishafutaga? Maana niliskia 2012 serikali ilifuta kutokana na kutumiwa vibayaTatizo ni spare ila nazikubali sana hasa VW CARAVELLE
Jr[emoji769]
Zipo na hata online unapataIla Mkuu si wanasema spea za European cars zinapatikana Tanzania kwa sasa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh hili sina uhakika nalo kwakweliMkuu pia naomba uniambie hivii hii misamaha ya kodi ya kuagiza magari kwa wafanyakazi wa umma bado inapatikana ama walishafutaga? Maana niliskia 2012 serikali ilifuta kutokana na kutumiwa vibaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Audi A4 vp Mkuu any ideas???Mmh hili sina uhakika nalo kwakweli
Jr[emoji769]
Okay mkuu...naomba nikuulize kitu....Hizo ni maarufu sana South na China hapa kwetu sio kivile
Jr[emoji769]
Achana na magari hayo..utalipaki soon..gari za kijerumani ( Audi, M/Benz, BMW ) zina body ngumu sana ukiona imesimama makini kweli utasema ni mpya kabisa kumbe imeshagonga 600,000km. Oil filter tu lazima uagize Dubai/ SA..utaalam wa kuzitengeneza hapa Tz ni 10% tu. Chukua mjapan ulale usingizi mkuu.
Haha Mkuu mbona unanitisha Mkuu...Achana na magari hayo..utalipaki soon..gari za kijerumani ( Audi, M/Benz, BMW ) zina body ngumu sana ukiona imesimama makini kweli utasema ni mpya kabisa kumbe imeshagonga 600,000km. Oil filter tu lazima uagize Dubai/ SA..utaalam wa kuzitengeneza hapa Tz ni 10% tu. Chukua mjapan ulale usingizi mkuu.
Mkuu swali lako ulijibiwa?Wadau, naomba uzoefu kwa alowahi kununua gari toka japan na kampuni ya autocom japan. Nataka kupata ufaham kama hawana longolongo na utapeli na ucheleweshaji wa mzigo. Nawasilisha
Hapana mkuu ilibidi niagize kupitia kampuni ya beforwadMkuu swali lako ulijibiwa?
Inamaana ata wenyewe hawakujibu humuHapana mkuu ilibidi niagize kupitia kampuni ya beforwad
Magari mazuri sana ila spare zake bei imechangamkaView attachment 587620 Wenye uzoefu wa Subaru Impreza w.