Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Haya ni matumizi mabaya ya decorations
-gari unaiongezea kilo bila sababu
-shape asilia inapotea
-ufujaji wa pesa
-etcView attachment 541693

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Huyu kama sio MKONGO basi ana nasaba na wakongo. Na hiko ndani utakuwa imepakwa mpaka powder na make up.

"PAMBANA NA HALI YAKO"
 
Daah wadau nimenunua gari zanzibar, misukosuko ninayoipata hapa sitamani mwamna JF yeyote aje akumbane nayo, Ngoja mpaka ikifika mikononi mwangu nitakuja kuwapa mrejesho wadau tuombeane dua.
 
Hivi ni kweli kuwasha AC muda mwingi kuna maliza mafuta?
Nilishasikia mahali kutoka kwa mtaalamu fulani, alisema kuwa wanaposema gari fulani inatumia labda 12km per litre huwa inamaanisha full usage consumption yaan vitu vyote vinavyoconsupt mafuta vinakuwa vinatumika.
 
Msaada wenu gari timing belt ilikatika nikaivuta mpaka mjini sasa nimebadili hiyo timing belt gari imewaka ina misi ya hatari kabisa sasa hawa mafundi wananiambia itakuwa imeharibu vitu vingi sana kwenye engine maana ilipo nizimikia nilijaribu kuiwasha sasa fundi anasema ndio nilifanya makosa hapo sasa amenitajia vitu vingi Mimi sio fundi sivijui ghalama yake anasema inafika 500000 na gari ni cresta gx100 vvti
Engine ya gx100 itakua ni 1G-FE Beams. Hii ni interference engine, ikimaanisha kwamba timing belt ikikatika, pistons zinagongana na valves. So kama uliiwasha, kuna uwezekano mkubwa hicho kitu kilitokea.
 
Naomba mwenye uzoefu ama kujua haya magari aniambie kwa kirefu...in terms of spare availability hapa tz.. uimara..fuel economy...na kila kitu kwa ujumla
1. NISSAN JUKE
2. NISSAN QASHQAI


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hakuna gari imara kama ya mjerumani
Na huo usemi wa kusema kua ndoa hayo ni yakizamani
Kuhus ughali wa spea ni kwasbb hakuna spea ya mjerumani inakuja feki
Kwa mfano ukinunua shokap zoba ya BMW kweli ni ghali lkn ukiifunga ni mkataba hapo ponda shimo ujuavyo lkn hadi ichoke haipungui miaka mi3
Tafaut na za carina au corola ni miez 6 tu zinaanza kugonga
Mkuu vp Audi A3?
 
Mkuu vp Audi A3?
Audi ziko poa sana mkuu sina ila jamaa yangu anayo A4 Cheki A4 A3 sizijui ila A4 ndio zimejaa sana kwa sasa Bongo zipo Avant na Sedan kiukwel asikudanganye mtu gari hizi ni cheap na ni imara na Comftable sana hujutii kazi ya mjerumani Speed kubwa 220km/h.Mil 13 hadi 16 unamiliki mkononi Kuanzia 2005 Toyota hazina cha ziada mkuu ila hizi kitu mjerumani hakukosea.

Sent using Iphone 7+
 
Audi ziko poa sana mkuu sina ila jamaa yangu anayo A4 Cheki A4 A3 sizijui ila A4 ndio zimejaa sana kwa sasa Bongo zipo Avant na Sedan kiukwel asikudanganye mtu gari hizi ni cheap na ni imara na Comftable sana hujutii kazi ya mjerumani Speed kubwa 220km/h.Mil 13 hadi 16 unamiliki mkononi Kuanzia 2005 Toyota hazina cha ziada mkuu ila hizi kitu mjerumani hakukosea.

Sent using Iphone 7+
Kweli Mkuu.. sema cjajua kuhusu spear zake na mafundi apa tz
Na vp hizi Nissan Juke? Na Qashqai
 
Mkuu niambie kuhusu hizi NISSAN JUKE na Nissan Qashkai basi
Unajibiwa kulingana na gari ambazo wanaokujibu wamewahi kumiliki au kuendesha au kuwa nazo jilani hizo Nissan mkuu watumiaji sio wengi Tz labda Nissan nyingine kama Murano nk.So ukiona kimya ujue watu wanaepuka kukujibu pasipo na uhakika so subili wazoefu waje.

Sent using Iphone 7+
 
Unajibiwa kulingana na gari ambazo wanaokujibu wamewahi kumiliki au kuendesha au kuwa nazo jilani hizo Nissan mkuu watumiaji sio wengi Tz labda Nissan nyingine kama Murano nk.So ukiona kimya ujue watu wanaepuka kukujibu pasipo na uhakika so subili wazoefu waje.

Sent using Iphone 7+
Poa mkuu
 
Back
Top Bottom