Gari isizime bali mshale uwe chini kabisa , kwenye magari kuna manual shida ni lugha, hasa hizi za kijapan, njia nyingine ni kuingia mtandaoniMkuu hio njia Mbona ndefu hakuna ya Calculation
Na je nitembee mpaka taa iwake au Gari lizime kabisa
Gari isizime bali mshale uwe chini kabisa , kwenye magari kuna manual shida ni lugha, hasa hizi za kijapan, njia nyingine ni kuingia mtandaoni
Njia fupi ni km upo Dar weka full tank pale Ubungo kisha nenda hadi Chalinze au Morogoro...Mkuu hio njia Mbona ndefu hakuna ya Calculation
Na je nitembee mpaka taa iwake au Gari lizime kabisa
Njia fupi ni km upo Dar weka full tank pale Ubungo kisha nenda hadi Chalinze au Morogoro...
Ukifika mwisho wa Safari ingia sheli weka full tank..
Lita utakazo weka ili means ndo mafuta uliyotumia...
Then chukua umbali gawanya kwa hizo lita
Note: Dar- Chalinze 108Km
Dar- Moro 193km
Utapata wastani wa utumiaji mafuta wa Gari lako...
Gari gani
Ni kweliNijuavyo kawaida Gari kama halijazima Basi kunakuwa na Rezev ya amafuta zingine mpaka lita Tano
Sasa je Kwa hapo hesabu itakuwa sawa
Na je vipi juu ya ile nadharia kwamba Gari ikisafiri ( ikitembea Mwendo mrefu) inakula mafuta vzr tofaut na mizunguko ya kawaida Town
Ni kweli
Sababu gari inatumia Gear ndo muda mrefu...
Hapa town gari hazimalizi gear so muda mwingi inatumia gear kubwa...
AnywaySasa kwa nini Ulaji wa mafuta niupime kwa Safari ilhali gari yangu ni ya amatumiz ya kawaida sio mtu wa Trip
Asante mkuu ngoja nijaribuPlease usichokonoe zaidi fanya diagnosis ya kwa mashine
Muda mwingine ulaji wa mafuta kwa gari unategemeana na dereva mwenyewe, ukanyagaji wa mafuta(rpm). Kwa gar za automatic ni vzuri usilazimishe gari ku accerate haraka.. Gari inaweza kwenda mpaka spidi mia kwa rpm bila kuvuka tatu, hio ni ukiachana na specs za engine.Set kilometers zile ODO, weka full tank tumia mpaka yaishe kabisa piga hesabu gawanya kilometers kwa idadi ya lita
Pole sana,nimewahi kukumbwa na tatizo hilo na halijapata mtaalamu,Gari huwa siitumii sana na nimekuwa na mawazo ya kununua gearbox nyingine.Wadau nahitaji kupata msaada wa fundi mzuri wa CVT gear box..nipo dsm, kigamboni, namba yangu (0719058458) nina vitz new modal yenye injini 2SZ-FE, yenye CVT gear box, ( gear selector ina P, R, N, D, B) sasa hii gari nimepatwa na tabu kwenye transmission system, na limeanza baada ya kubadili transmission fluid. Gari inatumia transmission fluid aina ya CVT-TC, wakat wa kufanya service nilikuta fundi kaisha fanya kazi kamaliza nkaja kulichukua na kuondoka, nimetembea km 1600 nkaanza kuona gafla gari inakua inishiwa nguvu, unashangaa injini inaunguluma kwa nguvu ila mwendo mdogo na gia zinashndwa kupanda kwenda 3, mpaka 4, au inaishia gia numba 1, ila ukiweka reverse gari inarudi nyuma poa, ila mbele majanga.. Katika kutafuta tatizo, nkagundua fundi aliweka ATF transmission fluid badala ya CVT-TC, ndo nkabidi ni flush oil yote ya gia box.. Fungua sampl, toa filter pamoja na chesi, vyote vikasafishwa. Ila baada ya kuflush nkaweka fluid original ya gari (cvt-tc) but maajabu bado gari imeendelea na ugonjwa uleule wa kushindwa kushift gear smoothly and with power... Wadau kuna anaweza nipa way foward? Ntafutah kupata solution...
Mkuu pole sana..shida ya mafundi wetu.Wadau nahitaji kupata msaada wa fundi mzuri wa CVT gear box..nipo dsm, kigamboni, namba yangu (0719058458) nina vitz new modal yenye injini 2SZ-FE, yenye CVT gear box, ( gear selector ina P, R, N, D, B) sasa hii gari nimepatwa na tabu kwenye transmission system, na limeanza baada ya kubadili transmission fluid. Gari inatumia transmission fluid aina ya CVT-TC, wakat wa kufanya service nilikuta fundi kaisha fanya kazi kamaliza nkaja kulichukua na kuondoka, nimetembea km 1600 nkaanza kuona gafla gari inakua inishiwa nguvu, unashangaa injini inaunguluma kwa nguvu ila mwendo mdogo na gia zinashndwa kupanda kwenda 3, mpaka 4, au inaishia gia numba 1, ila ukiweka reverse gari inarudi nyuma poa, ila mbele majanga.. Katika kutafuta tatizo, nkagundua fundi aliweka ATF transmission fluid badala ya CVT-TC, ndo nkabidi ni flush oil yote ya gia box.. Fungua sampl, toa filter pamoja na chesi, vyote vikasafishwa. Ila baada ya kuflush nkaweka fluid original ya gari (cvt-tc) but maajabu bado gari imeendelea na ugonjwa uleule wa kushindwa kushift gear smoothly and with power... Wadau kuna anaweza nipa way foward? Ntafutah kupata solution...
Mkuu nimekwenda pale ilala, bei ya gia box ya gari hyo naambiwa 700, 000-800, 000 mkajiuliza vitz ndo inaweza kua na gia box yenye bei kubwa kiasi hki?Mkuu pole sana..shida ya mafundi wetu.
CVT inachukua miaka kubadili.
Hapo jiandae kuingia Dukani.
Ina sumbuaje mkuu?? Nawewe ni cvt? Gear haziingii? Au haina nguvu kabisa?Pole sana,nimewahi kukumbwa na tatizo hilo na halijapata mtaalamu,Gari huwa siitumii sana na nimekuwa na mawazo ya kununua gearbox nyingine.
Hapana si CVT,ni auto ya kawaida na Gia zinakuwa haziingii.Ina sumbuaje mkuu?? Nawewe ni cvt? Gear haziingii? Au haina nguvu kabisa?
Mkuu hivi condenser ya AC ya gari inayovujwa inaweza zibwa?au ndio lazima iwe replaced kwa kununua mpya?Hii zima washa si kitu cha kitaalam hata kidogo na sidhani kama hata hiyo spot starter hayo ndio malengo yake
Kuna mifumo mingi kwenye gari inayofanya kazi tofauti, hivyo tabia ya washa zima huathiri hii mifumo kwa njia moja au nyingine
Mfano uko kwenye foleni umewasha A/C, huu ni mfumo unaojitegemea kwahiyo ile zima washa zima washa huathiri sana compressor, evaporator na gas bottle, mfumo wa AC ya gari unafanana na friji, compressor ina intervals za kuwaka na kuzima hivyo unapoikatisha kila mara hufupisha lifespan ya mfumo mzima wa AC kama si kuuharibu
Kuna mfumo wa radio na mziki nao unaweza kuathirika kutokana na ile zima washa, kuna mfumo wa taa, fuses, na sensors mbalimbali...!
Binafsi siafiki na sishauri jamani, starter si kitu cha mchezo umeme unaotoka pale ukikupiga short unapoteza maisha, sasa kila mara kurestart current kubwa kama ile iingie kwenye mzunguko na kabla haijatulia unarudia tena ni hatari hata kwa maisha ya battery
Kwahiyo kuna madhara mengi kwenye zima washa kuliko faida, na ndio maana hushauriwa kuzima mifumo yote kwenye gari kabla hujastart