MSATULAMBALI
Senior Member
- Apr 1, 2012
- 187
- 55
Jmn naomba kuuliza ist inalia ka spring za kitanda cha chuma ukiendesha ishu inaeza kua n3333eeen
wakati gani overdrive ipo on je ni inapodisplay au wakati sion in dashbord
Magari ya Automatic hayapatani sana na maji kwakuwa mfumo wake mzima ni umeme, hivyo kuna sehemu maji yameingia ambapo kuna connection zaBAADA ya kuosha engine ya GARI yangu (NISSAN),DASHBOARD HAIWAKI TAA (P,R,N,D &L),PIA GARI INAJIRESI NA HAINA NGUVU ,TAFADHALI WATAALAM KWA MSAADA!
Shem kwa hiyo huu ndo mwisho wa ufundi wako?Kuna vingine huwa vinapata moto unasimama unakimwagia kwanza maji kinafukaaaa moshiii
CHECK ENGINE sign hiyo mkuuView attachment 705987
mshana jr and all, alama hii kwenye dashboard ina maana gani?imenitokea jana alafu haijawahi kutokea...aina ya gari nayotumia ni AUDI A4
Athlete ni latest na comfort itakuwa latest chukua hiyo ule bata mjini hapa.......Jaman kati ya crown royal na athlete ipi ni gari nzuri kwa masafa au comfortable.....?
ushauri wangu ununue injine nyingine maana utapata usumbufu usio wa lazima. kumbuka injini ni kama laki 7 tu lakini ukianza kukatengeneza utajikuta imezidi laki 7 hakajaponaMsaada wenu wakuu, nina gari IST (1NZ-FE engine) ilianzisha tatizo la engine kupiga kelele na taa ya oil kuwaka wakati gari ikiwa inaendeshwa. Nikaenda kwa fundi akasema labda oil filter itakuwa mbovu, hivyo akabadilisha oil na oil filter, lakin baada ya siku mbili tatizo likarudi tena. Fundi akasema itakuwa ni oil pump haisukumi oil ya kutosha ndio maana gari inapiga kelele. Tumebadilisha na kuweka oil pump mpya lakin tatizo liko palepale na kelele nahisi ndio kama zimezidi. Shida inaweza kuwa nini? au kama kuna fundi anaweza tatua tatizo nitashukuru, niko Mwanza.
Nilisha solve kitambo sana...ThanksCHECK ENGINE sign hiyo mkuu
Nataka ist ya bei poa Tena napenda mtu awe amevurugwa,nipo dar
Unaweza sema hvyo ila nauzoef kununua ya namna hyoRoho mbaya