Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wadau ni kweli brevis ni gari la gharama kulimudu kuliko mark X haswa kwenye case kubwa ya saiv VIPULI na MAFUTA.....juzi nimepeleka mark X dodoma, niliweka full tank pale filling station ya TOTAL mlimani city lakini nimefika dodoma gari ilikua imetumia mafuta nusu tank kwa chini kidogoooo, na nilikua natembea speed na kiyoyozi juu.

Lakini nimekuja kusafiri na brevis tena kutoka dar to dom nikajaza full pale pale city lakini niliingia dodoma gari imebaki robo tank.....

Na gari zote hizi hakuna iliyovuka CC 2500, zote 6 cylinder..
 

Hapana mkuu.Alivyosema Richard ndio sahihi, Airbag ikishapachikwa kwenye sterling haiguswi wala sensor haiguswi, Airbag sio kama tunavyobadilisha Oil au spark Plug. Airbag sio hivyo, ikishafungwa pale inasubiri tu ajali itokee ikulinde si zaidi ya hilo.
 
Msaada wana jamvi gari yangu raum old model nikiendesha sehemu ya muinuko speed inapungua

Nadhani piston rings za pressure zitakua zimekwisha au block engine imetanuka. Cheki pia kama kiasi cha moshi kimeongezeka ina maana oil rings kwenye piston zimekwisha. Ni mtazamo wangu tu
 
Check pia kama ina leakage ya exos na silenter,kwe mlima check overdrive


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
waungwana niko njiani naenda mwanza natoka Moro nina GX 100,imebadili mlio na sasa nasikua kama mruzi hivi,itakuwa nn hiki?chonde usiku ndo huu niendelee na safaru?
 
waungwana niko njiani naenda mwanza natoka Moro nina GX 100,imebadili mlio na sasa nasikua kama mruzi hivi,itakuwa nn hiki?chonde usiku ndo huu niendelee na safaru?

Sio exhaust kweli hiyo? Vp taa za dashboard ziko sawa? Cheki na tairi pia angalia na mabadiliko ya gear
 
Et gar zuur la kidada na imara na tuseme kadogo ni lipi na hw much
 
Kwa nini wabongo tunanunua migari ya kufanana wote? Rav 4 namba1, ist mmmh kero kila gari 5 basi 2ist. Tatizo ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…