Mkuu nashukuru,leo nimerudia tena na diagnosis tool, ikaonyesha tatizo lipo kwenye Linear Solenoid, wakapima fuse relay ya sample ya gearbox ikaonyesha inatatizo, nimenunua nyingine na kureplace taa imekata na imekuwa sawa,nashukuru sana kwa ushauri wako mkuu
Engine mounting au gearbox mounting imekatika. Ipeleke kwa fundi, ikaguliwe then tafuta.Habarini wakuu...nina shida ya gari yangu engine kutetemeka yaan hata ukiweka chupa ya maji pale juu ya injini inaanguka shida yaweza kua nn??? Mshana Jr. LEGE
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau nina vitz clavia, nkiweka mafuta ya 10, 000 yaan lita 5, pale kwenye gauge panaleta bar mbili. Lakini nkitembea mfano kutoka tangi bov mpaka posta then nkirud toka posta nkifika mbuyuni, ile bar ya mwisho ina anza ku blink (kuchezacheza) wadau kwa watumiaji wa vitz, is it normal kwa mafuta ya lita 5 kwa distance hyo gari kuanza kublink ile alama ya E ikiashiria fuel tank imeishiwa mafuta? Au kwa kublink kwa hyo E bado naweza kwenda distance ndefu? Gari yangu ni CC 1290.
Ni kawaida Vitz Clavia Full fuel tank 42ltrs ila napenda kuchanganua Reserve Tank 7litrs kwa hyo ukiona bar ina blink ujue unaanza kula Reserve Tank km unataka uamini ikianza kublink kaweke Full tank fuel utaona mafuta utakayopimiwa yatakuwa 37Ltrs kwa hapo utakuwa umenielewaWadau nina vitz clavia, nkiweka mafuta ya 10, 000 yaan lita 5, pale kwenye gauge panaleta bar mbili. Lakini nkitembea mfano kutoka tangi bov mpaka posta then nkirud toka posta nkifika mbuyuni, ile bar ya mwisho ina anza ku blink (kuchezacheza) wadau kwa watumiaji wa vitz, is it normal kwa mafuta ya lita 5 kwa distance hyo gari kuanza kublink ile alama ya E ikiashiria fuel tank imeishiwa mafuta? Au kwa kublink kwa hyo E bado naweza kwenda distance ndefu? Gari yangu ni CC 1290.
Mimi kwa uzoefu wangu altezza nyingi 4 cylinder zinasumbua sana engine lakini ukipata 6 cylinders iko poa na kuhusu mafuta sio kweli kama inakula sanakiipwi cha ngoghwe sidhani kama zipo Altezza 4S na kama zipo ulaji wake waweza uwe hautofautiani sana na 6S
ANGALIZO:
Unaweza ukawa na gari 6S na ikatumia mafuta vizuri zaidi kuliko mwenye 4S! Hii ni kutokana na uendeshaji, kwa mfano unatoka shekilango kuelekea mjini unajua kabisa ukifika big brother lazima upunguze mwendo lakini mtu anaivuta mpaka spidi 80 halafu akifika big anapunguza mpaka spidi 30 then anavuta tena akifika tiptop anapunguza tena huo ni uharibifu was mafuta, kwa jinsi hiyo utakuwa unapoteza mafuta mengi bila sababu
Vilevile hata safari ndefu ongeza mafuta taratibu na jitahidi kucontrol spidi yani kama una hakika kipande fulani hakina kupunguza mwendo ongeza mwendo taratibu mpaka spidi uitakayo kisha nenda nayo hiyo mpaka utakapotaka kupunguza punguza taratibu pia
Ukiwa mtu wa kupanda na kushuka yani mara umevuta toka spidi 80 mpaka 120 mara ukashuka ghafla mpaka 70 kisha mara ukavuta tena mpaka 120, 30, 40 nk kisha ukashuka ghafla utaisoma
Mwisho uendeshaji wa mjini ni ghali mno kwa mafuta kwakuwa break ni kila dakika
Most likely coil zimeshachoka za kubadiliWakuu poleni na majukumu nina mark x yangu yenye engine ya 4GR kuna wakati inakuwa na mis na wakati mwingine ukiendesha ina shitua kama vile inachanganya then inapunguza kasi lakini pia wakati huo ikiwa inaishiwa nguvu ukikanyaga accelerator mshale wa RPM unafika sehemu hauendelei na unashuka wenyewe huku ukiwa bado umekanyaga.
Naomba msaada nini shida.
Mkuu niuzie hii gari kama bado unayo. Nahitaji sana
Mimi nnayo kama hiyo.. japo sio Clavia ila ni ya 1290 CC ni ya mwaka 2004
How much mzee, kindugu ndugu bei ya kumuuzia mwalimu wa secondary
Kubadili springs ni optional... Mara nyingi tunachobadili ni shock ups... Engine oil hiyo ni sahihi Ila pata genuineHello wakuu...nina mambo mawili naomba niulize.
1. Hivi unaponunua shockups za gari...unatakiwa upewe na coil springs au zile zinanunuliwa tofauti?
2. Engine oil best kwa Carina Si ni ipi...huwa natumia SAE 40...je ni sawa???
Oil kwa Carina yako sio sahihi oil sahihi ni 5w30 au 10w30 hasa kwa hapa nchini unashauriwa utumie mojawapo kati ha hizoNimekupata, aksante sana kaka Mshana Jr...changamoto ipo hapo kwenye kuipata ambayo ni genuine...naijuaje???
Hivi kaka Mshana...bima ya gari ikishaexpire...ukirenew nilazima utumia kampuni hilo la awali au naweza lipa kwa kampuni lingine ninalopenda???
Aisee hizo oil huku nilipo hazipatikani kabisa...ipo ile 20w50...wapi naweza pata hapa nchini???Oil kwa Carina yako sio sahihi oil sahihi ni 5w30 au 10w30 hasa kwa hapa nchini unashauriwa utumie mojawapo kati ha hizo
Kwa Tanzania hii nadhani hakuna sehemu ambapo hakuna magari yanayofika kutokea hapa dar es salaam nadhani ukiitaji utapata hata kwa kutumiwaAisee hizo oil huku nilipo hazipatikani kabisa...ipo ile 20w50...wapi naweza pata hapa nchini???
Bei ndio inatofautisha.. Bima unaweza kubadili kampuni bila shakaNimekupata, aksante sana kaka Mshana Jr...changamoto ipo hapo kwenye kuipata ambayo ni genuine...naijuaje???
Hivi kaka Mshana...bima ya gari ikishaexpire...ukirenew nilazima utumia kampuni hilo la awali au naweza lipa kwa kampuni lingine ninalopenda???
Hivi mwl wa sec anashindwa kununua gari? Umepotea, kununua gari ni uamuzi anaweza akakopa akanunua zaidi ya hiyo vitz yakoHow much mzee, kindugu ndugu bei ya kumuuzia mwalimu wa secondary
Hivi mwl wa sec anashindwa kununua gari? Umepotea, kununua gari ni uamuzi anaweza akakopa akanunua zaidi ya hiyo vitz yako