Naomba mnijuze hivi kuna utofauti hasa fuel consumption kati ya engine ambayo ni D4 VVTi na VVTi isiyo D4 ikiwa zote ni 2362cc kwenye similar platform? Shukrani.
Hii gari leo imenipa mtihani sana
Jamani hizi gari za kisikuizi tuwe makini. Nimetoa terminals za battery tu imeleta kizaa zaa balaa baada ya kurudisha. Ni kama computer flan kwa sababu imefuta memory zote kuanzia ac, radio, doors, side mirrors, silence na ukiwasha tu inawaka but ukiweka gear inazima.
Pls kama una gari hizi za kuanzia 2006 na kuja juu muwe makini jamani hasa kwenye terminals za battery hapa ndio fundi anafanya data recovery at least some parts are now active
Hii gari leo imenipa mtihani sana
Jamani hizi gari za kisikuizi tuwe makini. Nimetoa terminals za battery tu imeleta kizaa zaa balaa baada ya kurudisha. Ni kama computer flan kwa sababu imefuta memory zote kuanzia ac, radio, doors, side mirrors, silence na ukiwasha tu inawaka but ukiweka gear inazima.
Pls kama una gari hizi za kuanzia 2006 na kuja juu muwe makini jamani hasa kwenye terminals za battery hapa ndio fundi anafanya data recovery at least some parts are now active
Hilo mkuu
Pole kaka, hata mimi lilinijuta hilo tatizo kwenye forester, ni kweli kuwa computer ya gari imepoteza memory, unachotakiwa kufanya ni kupeleka kwa mafundi wanaofomart gari kwa computer itakuwa poa
Habari wanajamvi, nina toyota vitz vvti inakula mafuta vizuri sana, yaani average ni 17 to 20km per litre. Nimemwagizia wife same capacity na milleage ulaji unaenda hadi max 16 km per litre, yenyewe haina vvti.
Mwenye kufahamu hili vvti ni mdudu gani? Very interesting
Mkuu mshana jr bado cjapata suluhisho la ile changamoto yangu ya RAUM new model kutumia kiwango kikubwa cha mafuta kupitiliza.
Hii gari ina VVTi engine, na sijawahi kuifanyia modification yoyote ile.
Kwako sasa fuel consumption yake ni 8km kwa lita, kuna kila dalili za kunifilisi hii gari.
vipi wakuu nina driving license ila for the rest of the year nitakua uganda masomoni je naweza kuitumia driving license yangu hiyo ya tanzania kudrive nikiwa kule? na kama ni impossible what should i do?
Duuu aisee kama ni hivyo kweli shida ni kubwa ngoja nirudi Dar wikiendi hii au ukiweza ipeleke pale Toyota kwa diagnosis au popote pale wanapotoa hiyo huduma
Ni kirefu cha Variable Valve Timing with intelligence ni mfumo wa kusukuma injini ambapo umeme na upepo hutumika zaidi kuliko mafuta
Kwamba 'kiitelejensia mfumo huamua ni muda gani upepo utumike au umeme utumike vikisindikizwa na kiasi kidogo cha mafuta
Mara nyingi gari za VVT-i kwenye dashboard huwa na taa ya ECO/economy yaani spidi 0- 80.ukivuka hiyo spidi taa ya ECO huzima kwa maana hiyo mafuta zaidi huanza kutumika
Vilevile kuna VVT-iE, angalia pichaView attachment 239587View attachment 239588
Wakati mfumo wa VVT-i huwekwa kwenye plugs, mfumo wa VVT-iE huwekwa kwenye shaft ya injini, VVT-iE ni HY-BRID ya VVT-i
Zaidi ya hizo siku hizi kuna mfumo mpya wa engine-baterry-mortar hii ndio mwisho wa matatizo kwakuwa Lita moja ni km 30+, mfumo wake uko hivi Engine-mafuta, engine-umeme/battery na engine mortar, na huo mfumo ni auto, huamua wenyewe ni wakati gani na kwa spidi gani utumie nini