Wakuu nawashkuru sana sana kwa michango yenu wandugu.
Nilitingwa sana leo sikupata nafasi ya kuingia hapa nilipata msiba na nashkuru kuwa tumezika salama.
Hapo ndipo TRA wanawachanganya waagizaji na huenda ikapelekea kutoeleawana katika pande husika.
Mfano angalia hapo kwenye calculator ya TRA inasema US $3,114 wakati invoice ya muagizaji inasema uS $3,600.
Hapa ni wazi ushuru wa hii gari hauwezi kuwa 5.5m.
Labda vinginevyo aje mtu hapa anayeelewa hili eneo atupe ufafanuzi kiundani zaidi.
cc: KIOO, [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=20033"]mayoscissors, [URL="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=20103"]Preta[/URL][/URL]
ukishamaliza huko ujee kwenye spea ulimwee chezea X trail wewe .........spea juu alafu vimeooo
mkuu hiyo hapo;
Reference Number 1415412147 Make: NISSAN Model: X-TRAIL Body Type: SUV Year of Manufacture: 2002 Fuel Type: PETROL Engine Capacity: 1001 - 2000 CC Customs Value CIF (USD): 3114.00 Import Duty (USD): 778.50 Excise Duty (USD): 194.63 Excise Duty due to Age (USD): 1167.75 VAT (USD): 945.88 Total Taxes (USD): 3087 Total Taxes (TSHS): 5541165
X-trail!! all the best
Pole kiongozi...Mungu awatie nguvu...
Habari zenu wakuu.
Natumai mu-wazima kabisa wadau kama MADA inavyojieleza wakuu naomba msaada wa kujua ushuru wa hii gari kuitoa bandarini..................ipo njiani, tarehe 22 Apr inataraji kufika bandarini ningependa kujua mapema gharama ili nijue kipi cha kufanya wakuu,natanguliza shukran.
SPECS :
Make : Nissan X-trail
Engine Size :1,990cc
Registration
Year/month : 2002/3
Manufacture
Year/month : 2002/3
Price : U.S $ 3600
For more details visit here :
Nissan X-trail.Beforward
THANK YOU.
Kama kuna vitu ambavyo havizoeleki ni kifo kinauma sn
Ni kweli kabisa mkuu.
Total si chini ya Tshs. 18 Milioni mkuu
Pole sana na Mungu asiwapungukie.ktk kipindi hiki kigum ni nani yako!
Amani iwe nanyi!Naomba kuuliza.
Gari ikishatoka bandarini unaweza ukaanza kutembea nayo au ni lazima uifanyie service kwanza.