Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu nawashkuru sana sana kwa michango yenu wandugu.

Nilitingwa sana leo sikupata nafasi ya kuingia hapa nilipata msiba na nashkuru kuwa tumezika salama.

Pole kiongozi...Mungu awatie nguvu...
 

Mkuu ni kweli CIF ikiwa juu kuliko CUSTOM VALUE hata kodi pia huwa inaongezeka pia lakini si sana kama unavyoona hapo kuwa kuna tofauti kidogo mkuu kwa hivyo hata tax yake sidhani kama itaongezeka sana kupita ukilinganisha na CV na CIF kiongozi.

Labada atusaidie hapo mkuu ilonga au lucky sabasaba kwenye hilo suala.
 
Last edited by a moderator:

Barikiwa sana kiongozi nashkuru mno kwa mchango wako mkuu.
 
Pole kiongozi...Mungu awatie nguvu...

Amin......Amin......Amin mkuu nashkuru sana kiongozi na pia nashkuru sana kwa mchango wako wa hali ya juu MUNGU akubariki sana mkuu, THANKS AGAIN & AGAIN.
 
Amani iwe nanyi!Naomba kuuliza.
Gari ikishatoka bandarini unaweza ukaanza kutembea nayo au ni lazima uifanyie service kwanza.
 
Mkuu umemwelewa Samora10?

Kumuelewa kwangu ni kama ananitahadharisha kuhusu running costs na hasa spare kwa ujumla juu ya gari husika and thats why akanitakia kila la heri mkuu.

Au labda si hivyo mkuu ...?.
 
Last edited by a moderator:

Total si chini ya Tshs. 18 Milioni mkuu
 
Amani iwe nanyi!Naomba kuuliza.
Gari ikishatoka bandarini unaweza ukaanza kutembea nayo au ni lazima uifanyie service kwanza.

Inakuwa na karatasi ya service, soma next service ni km ngapi, angalia kwenye dashboard kuna kilometa ngapi, Fanya uamuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…