Ni poa kabisa Fanya tu maamuzi sasa
Usiinyanyue asilani na ikibidi kubadili tairi onana na wauzaji was tairi watakushauri vema zaidi
Tatzo ni nini ???
Ninaomba nisaidiwe . Hivi kuna uwezekano security system(alarm) system kwenye gari ika cut power kwenye fuel pump hivyo kusababisha gari kutowaka na ikaonaekana kama fuel pump imekufa?
mshana jr
My dear nimefurahishwa sana na ujuzi pamoja
ushauri unaotoa.
Binafsi ningeomba kuuliza je ni gari lipi
Kununua ajili ya safari za mara kwa mara
Kutoka Dar mpaka Manyara .na mara nyingi kwenda kijijini ambapo hamna lami na mvua ikinyesha ndio balaaa zaidi. nataka gari ambalo naweza kutembela mjini na kupiga nalo safari ndefu pia. Any suggestions ?
Asante sana.
Mkuu naomba kujua kuna wanatoa thermostat kwenye magari yao wakusema inatumika kwa nchi za ulaya zenye baridi huku kwetu hazihitajiki kwakuwa kuna joto he in sahihi kufanya hivyo?
Kaka nikihitaji kununua gari kwa mtu mkononi vitu muhimu vya kucheki ni nin na nin ndugu?
Hbr,nimependa sana jinsi unavotuelimisha humu kuhusu magari,naming nataka kununua Gari ila napenda unisaidie ni Gari gani inauzwa bei ya chini ni ya kisasa na inatumia mafuta kidogo.ni kwa ajili ya safari za mjini tu,ukiweza nitajie bei kaka na wapi zinapatikana.ahsante.