habari wadau?
mimi nauliza kuhusu toyota platz na honda Hr-v ziko vipi ? uimara , spares matumizi ya mjini na barabara ya vumbi mara moja moja.. kati ya hizo mbili ipi ni bora zaidi kama unamshauri mtu anayetaka kununua?
Kuna jambo fani limenipa wasiwasi hapa naomba kuuliza ili nijue kama linaweza kuleta madhara gani. Mwaka jana nilipata ajali na gari yangu ikawa imeharibika sana na nilikuwa na bima ndogo so nikaamua kuikata kata nikauza spea, kuna jamaa alikuja akataka nimuuzie kadi na plate number pamoja na kibati flani chenye engine number. Nataka kujua kama inaweza kuleta madhara yeyote kwangu maana huyo jamaa alinishawishi kwa laki nane nikampa sa kwa maelezo ya watu hapa napata wasiwasi.
Mghosi
Tumpiche nashindwa kukuquote sijui kuna nini lakini hicho cha gari kuhama ni wheel balancing yaani tairi haziko sawa, kuna moja inamzidi mwenzake
Wakati alignment ni - adjustment of the wheels' angles so that they would be parrel to each other and perpendicular to the road, na hii mara nyingi ni kwa ajili ya afya na maisha ya tairiView attachment 244928
Mara zote magari yanayouzwa online huoneshwa gari husika limekwisha tembea km kiasi gani.
Je! Gari likifikisha km ngapi linakuwa mkweche au skrepa kabisa?
Ingawa km sio kipimo pekee cha uzee au uchakavu wa gari, as kama linapata matunzo mazuri na services muda muafaka gari, linaweza fikisha km mpaka mililion moja na liko vizuri. Ila kama unataka kununua used car from Japan, inashauliwa kuangalia mwaka wa gari na km zilizopo. On average gari hutembea angalau km 10,000 kwa mwaka, so kama lina miaka 10, basi km 100,000 plus. ila ukipata lililo chini ni vizuri zaidi, ila lisiwe chini saana kama km 30,000 kama lina umri mkubwa. Pia lisizidi km 150,000.
Kwa European cars, tafuta lenye km chache, maana magari yao yana systems nyingi za umeme. Likitembea km nyingi systems nyingi zinaanza ku fails. So angalau lisizidi km 100,000
BMW karibia zote ni gari bomba na imara sana kuanzia body mpaka mashine kimoja na cha muhimu hazitaki shida nyingi na vipuri viko juu
kaka naomba mungu, nikikamilisha mambo yangu yote, hiyo kitu itaingia bandani....watoto wendee shule!Chukua kitu BMW kaka
Mmh platz ni majanga kuanzia body mpaka injini zinahitaji handle with care kama hujachukua achana nayo
Mkuu jamaa wanasema hizi honda zinasumbua spea halafu zikichoka "zinachoka vibaya sana".. vipi fuel consumption?
Kuna ndugu yangu ana platz anaisifia sana.. anapiga nayo masafa nairobi - dar , anasema iko poa... hapo mnanichanganya kiasi..
Kuna vigezo vingi zinapaswa kuangaliwa kabla ya kusema gari ni mkweche ama la kwa kutumia kigezo cha km.
Mathalani ukubwa wa injini.Landcruiser yenye km 150k ni tofauti na Vitz yenye km 150k ama pikipiki.
Lakini vile vile suala la service ni muhimu.Gari inayofanyiwa service zinazohitajika haiwezi kuwa mkweche.
Mimi kwa mfano nina Landrover imetembeaa km 954k mpaka nnavyoandika na bado sio mkweche
kabanga ila ukifunga ni uhakika sio kitu cha kuharibika leo au mwakani, after all kama una uwezo wa kumiliki BMW halafu ukashindwa kuikatia comprehensive insurance ni kichekesho