Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

msaada wadau,juzi tulitoa battery ya Raum kwa ajili ya kumuashia jamaa yetu gari yake,sasa tulivyorudisha vioo vya nyuma vikawa havifunguki kwa automatic i mean ukitumia batani ya dereva haivifunguki mpaka utumie batani ya mlango wake kiufupi ni kama system ya umeme imetibuka...msaada plz

Shusha kioo cha dereva nusu alafu nenda kwenye button ya kila mlango shusha kioo mpk chin kabisa ng,ang,nia button kama sekunde tano alafu pandisha na ung,ang,anie tena button kama sekunde tano fanya hivyo kwa kila mlango then rudi kwenye power window master ya dereva ucontrol kama kawa
 
msaada wadau,juzi tulitoa battery ya Raum kwa ajili ya kumuashia jamaa yetu gari yake,sasa tulivyorudisha vioo vya nyuma vikawa havifunguki kwa automatic i mean ukitumia batani ya dereva haivifunguki mpaka utumie batani ya mlango wake kiufupi ni kama system ya umeme imetibuka...msaada plz

Shusha kioo cha dereva nusu alafu nenda kwenye button ya kila mlango shusha kioo mpk chin kabisa ng,ang,nia button kama sekunde tano alafu pandisha na ung,ang,anie tena button kama sekunde tano fanya hivyo kwa kila mlango then rudi kwenye power window master ya dereva ucontrol kama kawa

Tatizo hili linamkutaga mara kwa mara rafiki yangu kila atoapo betry la gari lake,ist ili abustiwe mana linasumbua. Kumbe hiyo ndio solution yake,nitamtonya awe anafanya hivyo.
 
Shusha kioo cha dereva nusu alafu nenda kwenye button ya kila mlango shusha kioo mpk chin kabisa ng,ang,nia button kama sekunde tano alafu pandisha na ung,ang,anie tena button kama sekunde tano fanya hivyo kwa kila mlango then rudi kwenye power window master ya dereva ucontrol kama kawa

Hata mimi hili tatizo hunikuta mara kwa mara, nashukuru mkuu
 
Tatizo hili linamkutaga mara kwa mara rafiki yangu kila atoapo betry la gari lake,ist ili abustiwe mana linasumbua. Kumbe hiyo ndio solution yake,nitamtonya awe anafanya hivyo.

Lakini pia mshauri abadili betri atakuja pata shida kubwa mahali pasipo na msaada
 
Habari za mishughuliko wakuu?

Naombeni kupata taarifa muhimu na ushauri kuhusu Nissan Tiida. Kwenye ubora wake, utumiaji mafuta, na chochote kinachohusiana na aina hii ya gari. Natanguliza shukrani kwenu.
 
Habari za mishughuliko wakuu?

Naombeni kupata taarifa muhimu na ushauri kuhusu Nissan Tiida. Kwenye ubora wake, utumiaji mafuta, na chochote kinachohusiana na aina hii ya gari. Natanguliza shukrani kwenu.

Ni gari bora kabisa mkuu hizi ni muendelezo wa sedan fulani zilikuwepo hapa tz japo kwa uchache zikiitwa Nissan Sunny wanazitumia sana pia wenzetu Zambia,so Tiida ni nzuri na kama upo Dar spare zinapatikana na mafundi wake wapo ni gari zilizo kwenye orodha ya kuanzia mwaka 2000 kuja huku mbele mafuta inakula kawaida kabisa kuna 1.8lt,1.6lt na 1.5lt dizeli au petroli uchaguzi wako tu....,kama umevutiwa nayo ichukue tu mkuu hata interior zake zinavutia...
...,ila jiulize utaitumia zaidi kwenye barabara zipi,
....nina dada mmoja analalamika altezza yake inakatika chini na anakaa goba matosa ndani huko nikamwambia achana nayo tafuta gari inayohimili Aina ya barabara unayopita Mara kwa mara.
 
Ni gari bora kabisa mkuu hizi ni muendelezo wa sedan fulani zilikuwepo hapa tz japo kwa uchache zikiitwa Nissan Sunny wanazitumia sana pia wenzetu Zambia,so Tiida ni nzuri na kama upo Dar spare zinapatikana na mafundi wake wapo ni gari zilizo kwenye orodha ya kuanzia mwaka 2000 kuja huku mbele mafuta inakula kawaida kabisa kuna 1.8lt,1.6lt na 1.5lt dizeli au petroli uchaguzi wako tu....,kama umevutiwa nayo ichukue tu mkuu hata interior zake zinavutia...
...,ila jiulize utaitumia zaidi kwenye barabara zipi,
....nina dada mmoja analalamika altezza yake inakatika chini na anakaa goba matosa ndani huko nikamwambia achana nayo tafuta gari inayohimili Aina ya barabara unayopita Mara kwa mara.

Nashukuru sana mkuu. Je ina uwezo wa kuhimili barabara zote au nitakumbana na tatizo kama la huyo dada mwenye Alteza wa Goba?
 
Nashukuru sana mkuu. Je ina uwezo wa kuhimili barabara zote au nitakumbana na tatizo kama la huyo dada mwenye Alteza wa Goba?

Tiida is more luxurious mkuu sio off-road ila kama upo hapa Dar ichukue ingekuwa Arusha,Mbeya au Manyara na kwingineko ningekushauri otherwise just go for it mkuu
 
Wadau,

Juzi nimepoteza funguo ya gari yangu aina ya Fun cargo mbaya zaidi ni ile original key iliyokuwa na switch alam. nimebaki na funguo ya akiba ambayo haina switch alam mpaka sasa siwezi weka alam je nifanyaje au ndio imeshakula kwangu?
 
Tiida is more luxurious mkuu sio off-road ila kama upo hapa Dar ichukue ingekuwa Arusha,Mbeya au Manyara na kwingineko ningekushauri otherwise just go for it mkuu

Mie nipo tandahimba, hakuna lami huku ila nimevutiwa na hiyo gari.
Vipi upatikanaji wa spares zake kwa hapa bongo?
 
Wadau,

Juzi nimepoteza funguo ya gari yangu aina ya Fun cargo mbaya zaidi ni ile original key iliyokuwa na switch alam. nimebaki na funguo ya akiba ambayo haina switch alam mpaka sasa siwezi weka alam je nifanyaje au ndio imeshakula kwangu?

Hiyo funguo ina sensor kama hii ya Suzuki? ImageUploadedByJamiiForums1430923418.884246.jpg kama ndio nakushuri ukate hicho kichwa chenye sensor na uache ndani ya gari na kisha uweke alarm system nyingine tu ya kawaida. Ili uwe na access ya milango na wakati huo ile funguo yako ya spare ukaichonge ili ziwe mbili.

Kwa maana ya kwamba unaweza tumia funguo yako yeyote kuwasha gari kwa sababu sensor iko ndani ya gari 24hrs. Ukiipoteza na hiyo (ikiwa ni kama hii gari) basi itakugharimu sio chini ya milion 2 ili kupata funguo ya sensor ili kuweza kuwasha gari
 
Mie nipo tandahimba, hakuna lami huku ila nimevutiwa na hiyo gari.
Vipi upatikanaji wa spares zake kwa hapa bongo?

Kama unajali kudumu kwa gari tafuta SUVz kv Rav4 nk zinafaa zaidi kwa rough road but still unaweza kuichukua but kwa uendeshaji wenye umakini,Remmy kasema kipenda roho...
 
Kama unajali kudumu kwa gari tafuta SUVz kv Rav4 nk zinafaa zaidi kwa rough road but still unaweza kuichukua but kwa uendeshaji wenye umakini,Remmy kasema kipenda roho...

Nashukuru sana kwa ushauri kiongozi, ntajitahidi kuuzingatia... ila sasa tatizo huku hizo RAV4 zimekuwa kama uniform sasa.
 
Nashukuru sana kwa ushauri kiongozi, ntajitahidi kuuzingatia... ila sasa tatizo huku hizo RAV4 zimekuwa kama uniform sasa.

Hivi mkuu Rav 4 ama ist ipi ni uniform zaidi? We nunua kwa kuangalia mfuko na matumizi yako. Ukipata pesa ya kutosha unaweza pata gari ambazo sio uniform sana kama Commodore, Falcon ford, Great wall. Ukitaka we sema tu hizo zote sio japan made
 
http://www.beforward.jp/toyota/premio/bf400116/id/505099/?tp_country_id=40
toyota premio ya mwaka 2006 inauzwa usd 3335 kwenye website ya befoward je kwa hapa mwanza au dar itakuwa na kiasi gani

 

Attachments

  • BF400116_de0656.jpg
    BF400116_de0656.jpg
    23.8 KB · Views: 429
  • BF400116_363000.jpg
    BF400116_363000.jpg
    31 KB · Views: 430
Kuna hii kitu inaitwa cooper mini ni brand ya BMW.,
Nani ana uzoefu nazo humu

Bonge la kitu aisee acha kabisa BTW hebu fungua mtandao wa SBT JAPAN kuna vunja bei ya kufa mtu DUET zipo za mpaka USD 300 tuuu
 
Back
Top Bottom