Heshima kwenu!
Je kuna anayejuwa wapi funguo ya pili ya gari huwekwa? (hufichwa), hususani gari ndogo kutoka Uingereza.
Nauliza kwa kuwa gari nyingi 'used' toka nje huja na funguo moja, lakini inasemekana funguo ya akiba hufichwa sehemu fulani kwenye gari hilo hilo.
Natanguliza shukrani.
So far nimeuza kama 4 mpaka sasa but bado wateja wangu hawajalalamika. So nadhani ni Gari nzuri, maana nimeziuza like 6 month back... Please check stock yetu thru www.autocj.co.jp u can also call me on 0767328063. I can help.
Offisi zetu zipo hapa Quality Center,
Mkuu hii namba yako iko whatsap?
So far nimeuza kama 4 mpaka sasa but bado wateja wangu hawajalalamika. So nadhani ni Gari nzuri, maana nimeziuza like 6 month back... Please check stock yetu thru www.autocj.co.jp u can also call me on 0767328063. I can help.
Offisi zetu zipo hapa Quality Center,
Mkuu hii namba yako iko whatsap?
Ndio mkuu
Wakuu, gari niliyo agiza toka Japani (used Toyota Rav 4) inaingia wiki ijayo ... Tafadhali mnijuze nini cha kufanya kabla sija ingia nayo barabarani ( service na vitu vya kubadirisha).. Natanguliza shukrani nyingi kwenu wataalam..
So far nimeuza kama 4 mpaka sasa but bado wateja wangu hawajalalamika. So nadhani ni Gari nzuri, maana nimeziuza like 6 month back... Please check stock yetu thru www.autocj.co.jp u can also call me on 0767328063. I can help.
Offisi zetu zipo hapa Quality Center, Nyerere Road Dar es salaam.
Habari ya kazi wakuu.Kuna ndugu yangu anataka kununua gari kwenye hii kampuni ya Everycar.jp.Kwa anaeijua au ameshawahi kuitumia hii kampuni ipo vipi kwenye uhakika wa uagizaji? nasubiri ushauri wenu.
Habari ya kazi wakuu.Kuna ndugu yangu anataka kununua gari kwenye hii kampuni ya Everycar.jp.Kwa anaeijua au ameshawahi kuitumia hii kampuni ipo vipi kwenye uhakika wa uagizaji? nasubiri ushauri wenu.
Wakuu natanguliza salaam Habari zanu. Mwenye kujua duka kubwa la spare za magari ndani ya dsm anijuze maana Gari yangu inaspare adim ni Chevrolet cruze Suzuki
Nenda Ilala kwa Big D karibu na machinga complex
Wadau naomba kuuliza hivi uchakavu kwenye uagizaji wa magari ni miaka 8 au miaka 10?