Kamanda Moshi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,928
- 2,867
Hilo gari, kama ungelinunua kwa $3217 (custom value CIF) au chini ya hapo, basi ushuru ungelipa 4.33mil. Lakini kwakuwa CIF yake ni zaidi ya $3217, TRA watatumia hiyo CIF yako ya $4100, tegemea ongezeko kubwa tu la ushuru, huenda likazidi 1mil kwenye huo ushuru wa 4.33mil. TRA watafanya kadirio la ushuru upya kwa kutumia CIF yako na wao ndio watajua ni kiasi gani, huwezi pata hiyo details kwenye web yao. Pia ongeza kama 1mil nyingine kwa ajili ya kufanya clearance na kulipia bima ("chenji" huenda ikabaki).
Wakuu hivi ni muda gani gari inatakiwa kukaa bandari kabla haijalipiwa ushuru? je ni wakati gani mugaziaji atapigwa penalt?
wakuu natafuta mteja wa corrolla 110, ipo kwenye hali nzuri. ukiwa interested ncheki kwa hii namba ya watsapp +243853551426
Unaishi wapi?
wadau natafuta cresta gx 100 ,iwe katika hali nzuri vitu kama AC ifanye kazi.iwe na uwezo wa kutoka dar hadi mombasa. bajeti yangu m 6. please please please mi mwenyewe mtoto wa mjini gari famba staki tusipotezeane muda na magari mabovu
Lazma utakua mwanamama,, duh maana kwa maelezo yako nazan hakuna mwanaume anaweza kuja jf kuomba ushauri wa jambo kama lako.any way lazima pump ya ac itakua mbovu bearing zake na hvyo kusababisha kuwa ngumu,nenda kwa fundi mwambie aitolee beriti na ajaribu kuizungusha kwa mkono lazma atagundua tatizo....duh!
Lazma utakua mwanamama,, duh maana kwa maelezo yako nazan hakuna mwanaume anaweza kuja jf kuomba ushauri wa jambo kama lako.any way lazima pump ya ac itakua mbovu bearing zake na hvyo kusababisha kuwa ngumu,nenda kwa fundi mwambie aitolee beriti na ajaribu kuizungusha kwa mkono lazma atagundua tatizo....duh!
Lazma utakua mwanamama,, duh maana kwa maelezo yako nazan hakuna mwanaume anaweza kuja jf kuomba ushauri wa jambo kama lako.any way lazima pump ya ac itakua mbovu bearing zake na hvyo kusababisha kuwa ngumu,nenda kwa fundi mwambie aitolee beriti na ajaribu kuizungusha kwa mkono lazma atagundua tatizo....duh!