Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #1,941
Nawaombeni samahani sana nyie nyote mlio comment utani ktk huu uzi,,,,someni toka mwanzo mpk hapo mlipo anzia naiman hamtakuta tabia kama zenu..huu uzi mshana jr kauanzisha ili kusaidia wenye kuhitaji msaada seriously..hayo mambo yenu yanapatika kule chitchat...samahan kama nitakua nimewakwaza
Hahahahaaaaaaa nafikiri ni kazi na dawa