Nawaombeni samahani sana nyie nyote mlio comment utani ktk huu uzi,,,,someni toka mwanzo mpk hapo mlipo anzia naiman hamtakuta tabia kama zenu..huu uzi mshana jr kauanzisha ili kusaidia wenye kuhitaji msaada seriously..hayo mambo yenu yanapatika kule chitchat...samahan kama nitakua nimewakwaza
Mkuu vipi kuhusu gari za NISSAN body type- sedan ? Mfano primera, skyline etc zina uzuri au ubovu gani? Kwanini hazipendelewi hapa kwetu?
Hahahaaa, Sorry mkuu, tatizo ni muonekano peke yake au kuna lingine? then wewe ni jinsia gani?
Ushauri wa fasta:
Uza hiyo Killi time, nunua hiyo ya 2006
Natanguliza shukrani wakuu. Ivi kati ya suzuki swift ya kuanzia mwaka 2006 na Toyota vitz ya kuanzia mwaka 2006, ipi ina market value wakati wa kuuza?
Kama watu wanaweza kubadili engine, mataili, viti nk, mfano wanatoa engine ya Benz kwenye Body yake wanaweka ya Corolla! Au wanatoa taili size 14 wanaweka 15 na gari inakuwa sawa tu, iweje Steering (Usukani) wa aina ya gari hiyo hiyo ishindikane kwa ajili ya toleo tu?
Ngoja wanaojua ufundi wa magari waje siyo wewe dereva usiyejua ufundi wa kutengeneza.
mshana jr njoo uokoe jahazi mtalaamu wetu
wadau naombeni kujuzwa kati ya injini ya rav4 3s na 4s ipi yenye nguvu zaidi?
Minaona vitz ya 2006 ipo vizuri zaidi
Nissan ni nzuri sana body zake lakini zile za nyuma hizi za siku hizi body zake ni nyanya na hii si kwa Nissan tu bali gari nyingi za kisasa
Nissan zinaogopewa hapa kwetu kwa kuwa wengi wana ile notion ya ughali wa spare