RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hiyo gari haina manual?
Wengi wetu tunanunua used kutoka Japan na Europe. Unaweza kukuta manual au usiikute, na inaweza kuwa imeandikwa kijapan!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo gari haina manual?
Wakuu napenda kufaham hiv ac kwenye magari nikweli zinaongeza fuel cunsuption?
Kwanza nianze na hiyo ECT kirefu chake ni Electronically Controlled Transmission, kwa urahisi ni batani inayokuwezesha kulipa gari udhibiti binafsi wakati linapopita maeneo yenye changamoto kwake Mf.mlima,mteremko,barafu,tope zito nk ECT kile inafanya ni kupunguza mabadiliko ya Mara kwa Mara ya gia kwa mfano ukiibonyeza hiyo batani ktk PWR mode wakati unapanda mlima automatically gia za kupanda mlima aghlabu 1,2au3 zitakuwa zikijiseti kulingana na ukubwa wa mlima ukiweka batani ktk PWR mafuta zaidi yanatumika Ila injini nguvu yake inaongezeka,haishauriwi uiweke on kwenye normal town cruises,wenzetu kwenye barafu Kama huko Ulaya wanatumia hiyo batani Kama special effect kuwezesha gari kuhimili uterezi kwa sababu ECT huwezesha ongezeko la nguvu ya injini kwa kushabihisha na mzunguko wa injini kwa dkk-rpm, hapa Tanzania hiyo special effect inapatikana zaidi ktk Lexus,Escudos,baadhi ya corolla na mengineyo,
Kwa mukhtasari ECT batani husaidia gari kutumia low gear kwa muda mrefu.
Vipi kuhusu hizi probox jamani, naziona tu barabarani na watu wanazisifia kuwa ni nzuri. Vipi zinahimili barabara zetu hizi rough na fuel consumption ikoje?
Ndio,mzunguko wake unatumia kiwango fulani cha kadiri cha horsepower ya jumla ktk gari yako, so inaconsume fuel ingawa ulaji wa mafuta sio kiwango kikubwa Kama watu wanavyoexaggerate labda mifumo ya AC iwe below standards/mibovu kv tatizo la pipes kuvuja nk,ingawa huko sie hatushughulikii sana sie engine zaidi Kama una shida ya repairs npmWakuu napenda kufaham hiv ac kwenye magari nikweli zinaongeza fuel cunsuption?
Umetudanganya maana ya ABS na wewe.
ABS (Anti lock brake system)
Bath mm auto nivundishee😀😀
Wengi wetu tunanunua used kutoka Japan na Europe. Unaweza kukuta manual au usiikute, na inaweza kuwa imeandikwa kijapan!
Kama huna kipato cha kueleweka hiyo gari usinunue itakutesa hasa gharama ya vipuriMi nataka kujua kuhusu Nissan X-Trail,uzuri wake na matatizo yake kwenye matumizi ya kawaida
sasa hivi naona bongo zimekuwa nyingi tofauti na zamani watu walikuwa wanaziogopa
Kama huna kipato cha kueleweka hiyo gari usinunue itakutesa hasa gharama ya vipuri
Mpaka miaka hii bado ni shida kwenye vipuri vyake?
Ni kweli vipuri vyake ni gharama lakini uzuri wake ukinunua vinadumu kwa muda mrefu sana na unasahau.