Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #481
Mokoyo samahani kwakweli nilitaka kufanya hivyo jana nikasahau unajua kwasasa sipo mjini na huku nilipo ni mpaka nipate wireless ndio nakuwa hewanimshana jr haunitendei haki kwenye ili swali langu, sijapata jibu.
Ti ni nzuri sana kwenye mafuta na ni gari imara pia ila kwa safari sio kivile hasa kwenye ishu ya mwendo!kwa misele ya mjini in alipanga sana
Last edited by a moderator: