Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mkuu heshima mbele.

Hizi Airbags zinapoundwa na kufungwa toka kiwandani kwenye gari husika zinakuwa zinaishi kwa muda wote wa maisha ya gari hiyo mpaka pale inapotokea ajali kubwa ambayo itasababisha airbag itoke.

Airbag inapotoka kutokana na ajali ya gari basi huwa inabadilishwa na mafundi wenye ujuzi na magari yaliyopata ajali.

Naona tuendelee na darsa.

Mkuu Richard somo lako sijalielewa. Una maana gari zinapopata ajali kuna mafundi maalum huja kuzitengeneza tena zile Airbag?....au? Hebu nifafanulie hapo kamanda.
 
Mkuu Richard somo lako sijalielewa. Una maana gari zinapopata ajali kuna mafundi maalum huja kuzitengeneza tena zile Airbag?....au? Hebu nifafanulie hapo kamanda.

Namaanisha kwamba gari inapogongwa tu na kupata impact kubwa kule mbele, airbag inatoka na huwa haifai tena kurudishwa ndani ya kisanduku chake. Hivyo huitajika airbag mpya na hio kazi inahitaji pia kuitambulisha airbag hiyo kwenye computer ya gari.

Kwa Tanzania sidhani kama tuna mafundi na garage za ku-repair "accidental damaged cars" lakini nchi zilizoendelea kuna mafundi ambao wanalitengeneza gari hiyo na kufunga airbags mpya.

Kama hufahamu magari mengi mapya ambayo yanatengenezwa miaka hii ya karibuni yana airbags zaidi ya mbili kwenye gari- kuna ile ya dereva, kuna airbag ya abiria (kweye glove box) na hata airbag kama pazia kuzuia abiria wa nyuma wasidhurike zaidi wanapotupwa mbele baada ya mgongano.

Pia airbags hizi zinadhibitiwa na sensor maalum ambayo inaziambia ni wapi kuna high impact na kule ndio itajaa ukubwa zaidi yaani zipi more flexible, kama unanielewa.

mercedes-benz_s-class.jpg

Mercedes-Benz S-Class (W222) ipo kwenye production line toka mwaka 2013

Mikanda ya kwenye hii mashine inaitwa Beltbags na inajaa upepo pale ajali inapotokea na kuleta impact kwa abiria.
 
Hivi wadau magari yenye left-hand na sheria zetu za barabarani ts hopeful zinakinzana is dat corect then nahisi ni rahisi mwendeshaji kusababisha ajali mara kwa mara au mnasemaje wandugu?

Afteral nina nissan old fashion short-chases nalo ni left-hand aiseh natafuta mteja mwenye nia to make an offer ni PM couse i actual aint lyk lefthand
 
Hivi wadau magari yenye left-hand na sheria zetu za barabarani ts hopeful zinakinzana is dat corect then nahisi ni rahisi mwendeshaji kusababisha ajali mara kwa mara au mnasemaje wandugu?

Afteral nina nissan old fashion short-chases nalo ni left-hand aiseh natafuta mteja mwenye nia to make an offer ni PM couse i actual aint lyk lefthand

mwenye left hand anapata shida sana kwenye ku-overtake hasa kwenye barabara zetu hizi
 
Wakuu naomba kuuliza,hivi ni mtandao gani bora Wa kununua Magar kutoka Japan?kuna deal Mmoja mtandao wao unajulikana kama www.shineiinternational.co.jp kuna yeyote anawafahamu?nikitaka ku verify nafanyeje?nisije kupigwa mchanga Wa machoni.
 
Mkuu heshima mbele.

Hizi Airbags zinapoundwa na kufungwa toka kiwandani kwenye gari husika zinakuwa zinaishi kwa muda wote wa maisha ya gari hiyo mpaka pale inapotokea ajali kubwa ambayo itasababisha airbag itoke.

Airbag inapotoka kutokana na ajali ya gari basi huwa inabadilishwa na mafundi wenye ujuzi na magari yaliyopata ajali.

Naona tuendelee na darsa.

Hapana hili la airbag kuhitaji service nilipo pata Nagasaki Japan kwa mtaalam wa airbags! Ni sawa na gari unatakiwa kufanya service baada ya kilometres fulani usipofanya hakuna tatizo lakini performance na lifespan ya gari inapungua ndio hivyo hivyo kwa airbags!
Binafsi nimeshakutana na kesi zaidi ya sita za head collition na airbags hazikufunguka na kwenye kesi zote hizo ilikuwa ni gari za 1995-1999s
BTW kubadilisha airbag pekee kwenye steering na dashboard bila kubadili sensors/ control box ni kazi bure kwakuwa kinachosense mshindo/impact ni sensors zilizopo kwenye control box na steering
 
Kanuni za kuendesha automatic ni zipi?

Ni kama neno lenyewe liilivyo 'automatic' au ni sawa na kusukumwa chura unamuongezea mwendo
Automatic inaenda yenyewe unachofanya wewe ni kuongeza tu mafuta halafu yenyewe itajua iweke gear gani kwenye mwendo gani na barabara ipi
Ukiendesha automatic kama unavyoendesha manual yaani mara umeizimua mara umepiga chenchi kota/chenchi down itakuzingua kwenye wese na kuna wakati hata ukanyage mafuta vipi haitabadili gear kwakuwa haifuati kanuni zako bali zake
 
Mkuu heshima mbele.

Hizi Airbags zinapoundwa na kufungwa toka kiwandani kwenye gari husika zinakuwa zinaishi kwa muda wote wa maisha ya gari hiyo mpaka pale inapotokea ajali kubwa ambayo itasababisha airbag itoke.

Airbag inapotoka kutokana na ajali ya gari basi huwa inabadilishwa na mafundi wenye ujuzi na magari yaliyopata ajali.

Naona tuendelee na darsa.

Hivi ile taa kwenye dashboard inayohusiana na airbag inapowaka muda wote hapo kuna tatizo au ni Kawaida?
 
Hivi wadau magari yenye left-hand na sheria zetu za barabarani ts hopeful zinakinzana is dat corect then nahisi ni rahisi mwendeshaji kusababisha ajali mara kwa mara au mnasemaje wandugu?

Afteral nina nissan old fashion short-chases nalo ni left-hand aiseh natafuta mteja mwenye nia to make an offer ni PM couse i actual aint lyk lefthand

Hahahaaaaa toxic9 hilo utapiga nalo picha nilikuwa na Ford explorer la kimarekani left hand nilikuja kuliuza kwa bei ya bodaboda japo si kweli kwamba waweza sababisha ajali! Ajali nyingi zinasababishwa na kutofuata sheria za uendeshaji na kukosa nidhamu barabarani
 
Last edited by a moderator:
Nini cha kufanya hapo Mkuu! Nilipomweleza fundi hilo tatizo aliishia kuchomoa ile bulb kwenye dashboard isiendelee kuwaka. Is this right?

Hahahaaaaa ndio mafundi wetu hao kama gari haijawahi kupata ajali kafanye diagnosis ya airbag kwa vyovyote kuna shida ya umeme au sensors
 
Hahahaaaaa ndio mafundi wetu hao kama gari haijawahi kupata ajali kafanye diagnosis ya airbag kwa vyovyote kuna shida ya umeme au sensors

Na kama ilishapata ajali nifanyeje mkuu, inaoneka inewahi pata ajali
 
Na kama ilishapata ajali nifanyeje mkuu, inaoneka inewahi pata ajali

Hakuna jinsi tena iache kama ilivyo hatuna wataalam wa hiyo kitu na kwakweli kurestore airbags ni gharama mno
 
Jamani nataka kuagiza Altezza sasa nataka ya 4c siyo ya 6c nazitofautishaje na je ipi ni nzuri ya 4c au ya 6c maana nasikia ya 6c ni balaa inakata wese vibaya

kiipwi cha ngoghwe sidhani kama zipo Altezza 4S na kama zipo ulaji wake waweza uwe hautofautiani sana na 6S
ANGALIZO:
Unaweza ukawa na gari 6S na ikatumia mafuta vizuri zaidi kuliko mwenye 4S! Hii ni kutokana na uendeshaji, kwa mfano unatoka shekilango kuelekea mjini unajua kabisa ukifika big brother lazima upunguze mwendo lakini mtu anaivuta mpaka spidi 80 halafu akifika big anapunguza mpaka spidi 30 then anavuta tena akifika tiptop anapunguza tena huo ni uharibifu was mafuta, kwa jinsi hiyo utakuwa unapoteza mafuta mengi bila sababu

Vilevile hata safari ndefu ongeza mafuta taratibu na jitahidi kucontrol spidi yani kama una hakika kipande fulani hakina kupunguza mwendo ongeza mwendo taratibu mpaka spidi uitakayo kisha nenda nayo hiyo mpaka utakapotaka kupunguza punguza taratibu pia

Ukiwa mtu wa kupanda na kushuka yani mara umevuta toka spidi 80 mpaka 120 mara ukashuka ghafla mpaka 70 kisha mara ukavuta tena mpaka 120, 30, 40 nk kisha ukashuka ghafla utaisoma

Mwisho uendeshaji wa mjini ni ghali mno kwa mafuta kwakuwa break ni kila dakika

Mkuu hizi Alteza zipo zinazotumia Engine ya 3s ya rav4 halafu pia zipo zinazotumia 1JZ nk so hizi s series huwa zina cylinder nne. Mie namshauri achukue yenye cylinder 4 atakua na tofautiya kilomita 2 kwa lita ambayo sio mbaya inaweza ikakutoa porini.
 
Back
Top Bottom