Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Hii kitu hapa ina maana gani eti? ImageUploadedByJamiiForums1431354267.088028.jpg
A/T power na hizo alama left & right za viti
ImageUploadedByJamiiForums1431354357.393449.jpg
Kwenye hii PUSH ESP OFF

Escudo 2006 Model, V6
 
Mie nnaomba maelezo yahusuyo POWER TILLERS, nipo obsessed nayo kwa Sana Tu.
Nina ihitaji kwaajili ya kilimo cha mpunga huku Kyela.

Bei yake Na matumizi mf services nk.
Nawasilisha.

Kama upo Dar nenda pale SUMA JKT Mwenge utapata majibu ya maswali yako yote na hapo hapo yanauzwa.
 
Naomba kuuliza kati ya Land cruiser hard top(mkonge) na Land rover Tdi 110 ipi ni bora zaidi kwa barabara mbaya za porini zenye tope na kila ugumu ambao gari ya kawaida haiwezi.Nataka kununua mojawapo kwa shughuli za kusafiri safari ndefu porini na mashambani.
Naomba mwenye uzoefu na hizi aina mbili za magari.
 
Naomba kuuliza kati ya Land cruiser hard top(mkonge) na Land rover Tdi 110 ipi ni bora zaidi kwa barabara mbaya za porini zenye tope na kila ugumu ambao gari ya kawaida haiwezi.Nataka kununua mojawapo kwa shughuli za kusafiri safari ndefu porini na mashambani.
Naomba mwenye uzoefu na hizi aina mbili za magari.

Chukua hardtop ndugu yangu
 
Hard top haifai kabsaa kwenye rough road n balaa ni sawa na cheetah na Thomson japo hata TDI n nzuri sema kugharamikia n ghali sna haitaki shda kabsaa ukitoka safari kama 3 service lazma otherwise utaiweka juu ya mawe but hard top duh n gari nzuri na matata sna
 
Hard top haifai kabsaa kwenye rough road n balaa ni sawa na cheetah na Thomson japo hata TDI n nzuri sema kugharamikia n ghali sna haitaki shda kabsaa ukitoka safari kama 3 service lazma otherwise utaiweka juu ya mawe but hard top duh n gari nzuri na matata sna

Nilikuwa naichukulia poa kwa Land rover 110Tdi.Kumbe hard top ni balaa.
Vipi kuhusu spare zake gharama na upatikanaji wake ukilinganisha na Land rover.
 
Sorry mkuu kama nimekukwaza kwa kuongea tungo tata!!nlimaanisha magari ambayo bei ghali wengi hatuwezi kumudu kuyanunua na kuhakikisha tunayahudumia!

Hizo nyingine ni namba za gereji hutumika kutolea gari bandarini au wakati unasubiri usajili ukamilike.
 
Hard top haifai kabsaa kwenye rough road n balaa ni sawa na cheetah na Thomson japo hata TDI n nzuri sema kugharamikia n ghali sna haitaki shda kabsaa ukitoka safari kama 3 service lazma otherwise utaiweka juu ya mawe but hard top duh n gari nzuri na matata sna
Mkuu anaejifunza kiswahili akisoma mstari wa kwanza anaweza jua TDI ndo yenyewe kumbe umetumia lugha ya msisitizo,btw hard top ndo mpango nzima hasa zile toleo la kwanza na pili acha hizi macho ya panzi though Nazo ni nzuri, unaweza ukapiga 10 years bila kugusa engine na hapo imepiga masafa ya kutosha
 
Mkuu anaejifunza kiswahili akisoma mstari wa kwanza anaweza jua TDI ndo yenyewe kumbe umetumia lugha ya msisitizo,btw hard top ndo mpango nzima hasa zile toleo la kwanza na pili acha hizi macho ya panzi though Nazo ni nzuri, unaweza ukapiga 10 years bila kugusa engine na hapo imepiga masafa ya kutosha

Hard top 1kz ni habari nyingine kabisa, na guarantee yake ni hiyo ten years
 
Huo ndo ukweli ingawa ni Mchungu. Watu wakisema jamani wenye magari ya maana wayatoe..na wewe utatoka na Spacio yako?
Na wenye Vogue, Mercedes and other relating brands wafanyaje?hauna gari una chombo cha usafiri kaka

Usijali mkuu hata hiyo spacio sina niliuliza tu. ofcourse huwezi kucompare spacio na vogue au M Benz in terms of price nk, ila wakisema mwenye gari asimame mwenye spacio hatakaa chini kwa kuwa hata yeye ana gari na vyote ni vyombo vya usafiri
 
Sorry mkuu kama nimekukwaza kwa kuongea tungo tata!!nlimaanisha magari ambayo bei ghali wengi hatuwezi kumudu kuyanunua na kuhakikisha tunayahudumia!

Ok mkuu, nilikuelewa nilitaka tu kuchangamsha mada
 
Wakuu hakuna anaejua hii makitu? Seriously sivijui hivi na menu ni ya Kijapan

ESP ni kifupi cha electronic stability control,,,kwa lugha nyepesi inazuia gari kuseleleka,,,mfano unapokua upo spidi wakati mvua inanyesha kuna wakati unaweza kukata kona au kushika break na kupelekea gari kuhama na kumpotezea dereva uelekeo uliokusudia,,,mara nyingi utokea kwenye barabara zenye lami smooth.lakin ukiwa ume sitch on esp hiyo hali haiwezi kutokea.NB tairi zisiwe kipara na spidi isiwe kubwa sana
 
Hard top 1kz ni habari nyingine kabisa, na guarantee yake ni hiyo ten years
Hii ni mithili ya scania kwa gari kubwa, siku hizi mambo ya fashion yameingia mpaka kwenye magari kwahiyo toleo linapewa life span fupi ili wapate nafasi ya kutoa toleo lingine
 
Bajeti yangu inabana jamani. Naweza nunua dizaini hizo tu.Hivyo, naomba ushauri kati ya hizo gari ipi nzuri?

Asanteni.
 
Back
Top Bottom