Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Msaada jaman
toyota vista inazima yenyewe ila kwenye dashboard panaendelea kuwaka..
 
Mkuu mshana naomba uzoefu wako kwenye Toyota Voltz ubors wake spare parts zake na fuel consumption.
 
Duu kizuri gharama lakini uhakika
Safi sana mkuu. Unajua wengi wetu tunachangamoto ya kuwa na mawazo ya kimasikini kila Siku. Buying VW Kama hiyo doesn't mean one is reach(whatever you define it) lakini it's simply kwamba we have to dream na kufanya priorities. Hivi umeshawahi kujiuliza how much we burn kwenye pombe.......kwa wale tunaokunywa? It's possible jamaa kapack Vitz nje....lakini daily lazima ateketeze laki kwenye bia...so kupanga ni kuchagua.
 
chukua mashine hio, kama hela ya wese haikusumbui chukua 3.2V6 Petrol kwa perfomance and cmfortability! mjerumani huwa haongopi! Ukitaka economy kuna engine ya 2.5TDi ila hii haina nguvu,labda kidogo 3.0TDi. Jipange kidogo kwenye maintanance

oil filter tzs 35000-40000
air filter tzs 50000-80000
diesel/petrol filter 90000-150000
cabin filter tzs 60000-90000
engine oil tzs 20000-50000/litre
atf tzs 35000-80000/litre
spark plugs tzs 30000-60000 each
brake pads 250000-400000/axle

hivyo ni vitu vya service[hubadili vyote kila service]
ukitaka spare PM me.

Asante sana mkuu. Ngoja nijipinde...maisha ni haya haya.....certainly nitakuchek when I need your assistance. Lazima tubadilike utaratibu wa kupanda mabasi kwenda kwetu Mikoani lazima uishe.
 
Wakuu heshima zenu. Kwa wale ambao mnamiliki au mmeshawahi kutumia volkswagen touarage can you share your experience especially on aspects such as confortability, availability of spare parts.....fuel consumption and in general....value for money. I would love to hear from you guys with experience....before I decide to import one. For sure it's my dream car and I would love to have it. Mwenye uzoefu Tafadhali tupia neno.

Gari ninayoihitaji ni VW touarage. Aside mtu na ideas zake kuniambia ni expensive nikanunue Toyota. Toyota is a good brand lakini nimejipima na kujitathmini naona naweza kumiliki hii VW Touarage..so nahitaji Msaada wa mawazo based on this car. Si vinginevyo.

asanteni.

Ukitaka hii Gari, tembelea Autocom Japan used car exporter QUALITY Center, Nyerere Road Dar es salaam almaarufu kama uchumi supermarket or 📞 0767328063 for more information.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nina carina ed lakin ninapowasha gari ina tabia ya kutetemeka shida inaweza kua nini mkuu halafu ikiwaka inatoa moshi mwingi sana mweupe kwa muda shida hyo ni nini mkuu
 
Mkuu nina carina ed lakin ninapowasha gari ina tabia ya kutetemeka shida inaweza kua nini mkuu halafu ikiwaka inatoa moshi mwingi sana mweupe kwa muda shida hyo ni nini mkuu

Hiyo itakuwa no A kwa vyovyote inahitaji kufanyiwa engine overhaul
 
Ni kweli mkuu ni no A kwa uzoefu gharama zake zinaweza kukost ka shs ngapi ili niwe na idea mkuu
 
Ni kweli mkuu ni no A kwa uzoefu gharama zake zinaweza kukost ka shs ngapi ili niwe na idea mkuu

Kwa ushauri wangu tafuta engine nyingine used kwakuwa overhaul ya uhakika si chini ya laki sita
 
Ni gari nzuri sana kwa shughuli ndogo ndogo na ofisini tofauti na hapo utajuta kuijua Passo

Ahsante mkuu,natumia subaru legacy twin turbo,lishaanza kusumbua kimtindo,kuna mdosi kaniwekea pesa kidogo na passo namba c,ili nimuachie,kichwa kinaniuma kwa kweli
 
Ahsante mkuu,natumia subaru legacy twin turbo,lishaanza kusumbua kimtindo,kuna mdosi kaniwekea pesa kidogo na passo namba c,ili nimuachie,kichwa kinaniuma kwa kweli

Chukua halafu nawe iweke sokoni usiitumie zaidi ya mwaka kwa ushauri wangu ni heri upate Daihatsu kid Duet corolla au Ti yani hizi za misele ya kawaida
 
Back
Top Bottom