Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1L>>13km+
Wakuu, Nina Toyota Premio ambayo ina miezi miwili tu tangu nimeichukua. Nimegundua muungurumo wake umekuwa mkubwa sana tofauti na ilivyokuwa awali, naomba kujua je kutakuwa na tatizo?
Heshima kwenu wakuu
nilikuwa nauliza vipi kuhusu uimara na matumizi ya mafuta
fuel consumption kwa Suzuki grand vitara 2015 model? 2.4cc (2400cc)
4cylinder
Natanguliza shukrani.
Thanks mkuu, naomba njia rahisi ya kujua gari inatumia lita 1 kwa km ngapi.
mkuu mshana naomba unijuze kuhusu ulaji wa mafuta kwa gari spacio old model maana gari yangu inatumia mafuta lita kumi kwa km 56,nimejaribu kubadilisha plug na kufanta service nyingine km kuchange oil filter na vingine ila bado inanichangana kwenye ulaji wa mafuta, ushauri wako mkuu, maana digital gauge inashuka jwenye red taa mpk inaniboa
Habari wadau! Gari yangu inasumbua AC, ukiwasha inatoa baridi kwa muda kidogo then inatoa joto tena Kali tu. kwa wataalamu naomba ushauri Kama hii ni kitu naweza rekebisha mwenyewe Au Kama ni kitu serious basi naomba kuelekezwa wapi naweza pata fundi mzuri wa AC za magari. Mimi nipo Dar. Wasalaaaam!
Habari wadau! Gari yangu inasumbua AC, ukiwasha inatoa baridi kwa muda kidogo then inatoa joto tena Kali tu. kwa wataalamu naomba ushauri Kama hii ni kitu naweza rekebisha mwenyewe Au Kama ni kitu serious basi naomba kuelekezwa wapi naweza pata fundi mzuri wa AC za magari. Mimi nipo Dar. Wasalaaaam!
Mkuu pole sana, moja ya sababu us gari kubadili muungurumo yaweza kua wheel bearing kuharibika. Hizi zikiharibika gari hutoa muungurumo usio wa kawaida (wengi husema, Gari INAVUMA). Check na fundi, mimi si mtaalam sana. Lakini kama shida ni bearing ni ishu ndogo sana kwani ubadilishaji wake si gharama na zoezi la dakika chache tu
Njia ya kwanza ni kwa kuangalia manual book sehemu ya çc lakini bahati mbaya sana nyingi zimeandikwa kijapani
Njia ya pili ya kienyeji sana ni kureset km kwenye 0 kisha weka mafuta hata lita mbili tu endesha mpaka yaishe kisha angalia umbali wa km
Nb: zoezi hili inabidi mshale uwe chini kabisa