Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mshana Jr, Naomba ushauri wako nina gari aina ya Nissan primera ya UK hii gari hili gari linatoa alama ya chk engine kwenye dashboard hali ukiliwasha injini inakuwa haina nguvu halafu linapiga brake fire na miss nyingiii, nimewatafuta mafundi wa umeme lakini wengi wameshindwa, unaweza kunijulisha ni mtaalamu gani anaweza kuja kufanya diagnosis ili niweze kupata uvumbuzi ?

Naomba niwaalike hawa ndugu N'yadikwa na RRONDO Kaizer naona tayari yeye keshatia neno
Lakini kwa ufupi inawezekana kabisa tatizo lilianzia kwenye petrol chafu au plugs ambazo sio genuine
Nilikuwa na gari kama hilo na nikapata shida kama hiyo lakini mimi ilikuwa ni petrol ndio tatizo
 
Last edited by a moderator:
Mshana Jr, Naomba ushauri wako nina gari aina ya Nissan primera ya UK hii gari hili gari linatoa alama ya chk engine kwenye dashboard hali ukiliwasha injini inakuwa haina nguvu halafu linapiga brake fire na miss nyingiii, nimewatafuta mafundi wa umeme lakini wengi wameshindwa, unaweza kunijulisha ni mtaalamu gani anaweza kuja kufanya diagnosis ili niweze kupata uvumbuzi ?

Check engine ina sababu nyingi inawezekana ni oxygen sensor mojawapo imekufa ,mass flow au hata mfumo wa uchomaji mafuta hauko vizuri,inaweza kuwa ni issue ya kucheck na effectiveness ya plugs nk, plus hizo miss itahitaji code reader diagnosis ili kujua hiyo tahadhari inaelekeza wapi pafixiwe bila tabu... victoria utapata service nzuri
 
mshana et al...
Nahitaji.kufanyia service gari yangu nissan xtrail baada ya kutembea km 3000 nimwage oil.je ni vitu gani vingine vya kufanyia service..sina uzoefu sana na nissan xtrail.
Nan
Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
mshana et al...
Nahitaji.kufanyia service gari yangu nissan xtrail baada ya kutembea km 3000 nimwage oil.je ni vitu gani vingine vya kufanyia service..sina uzoefu sana na nissan xtrail.
Nan
Asante sana.

Engine oil, gear box oil, petrol filter, air cleaner plugs hivyo ndio basics lakini Fundi anaweza kukushauri accordingly
 
Last edited by a moderator:
Engine oil, gear box oil, petrol filter, air cleaner plugs hivyo ndio basics lakini Fundi anaweza kukushauri accordingly

Much appreciation mshana!
Labda unaweza nijuza xtrail cc 2000 inahitaji engine oil lita ngapi na pia brand ipi ni more genuine bei etc.
Na gear box oil ni kiasi gani kwa best brands .mwisho aircleaner plugs type na bei.
Hivi ni.lazima kila ukifanya service ubadili petrol filter?
Thanks in advance and samahani kwa maswali mengi. Mwaikibaki
 
Last edited by a moderator:
Much appreciation mshana!
Labda unaweza nijuza xtrail cc 2000 inahitaji engine oil lita ngapi na pia brand ipi ni more genuine bei etc.
Na gear box oil ni kiasi gani kwa best brands .mwisho aircleaner plugs type na bei.
Hivi ni.lazima kila ukifanya service ubadili petrol filter?
Thanks in advance and samahani kwa maswali mengi. Mwaikibaki

Okay kuongezea tu...engibe oil qekabya BP. Gear box oil ndo unabadili mara ya kwanza? Gari imetembea Km ngapi? Kama ni mara ya kwanza weka BP transmission fluid ni kama lita nne kwa gear box. Eng oil nunua lita tano itabaki kidogo. Kama haijafikisha Km 100K weka BP premium engine oil kama zaid ya hapo weka BP standard

Air cleaner wanaipiga upepo tu kisha inarudishia sio lazima mpya unless imechoka sana. Plugs pia sio lazima kubadili kama hazijakusumbua bado.

All the best.
 
Last edited by a moderator:
Okay kuongezea tu...engibe oil qekabya BP. Gear box oil ndo unabadili mara ya kwanza? Gari imetembea Km ngapi? Kama ni mara ya kwanza weka BP transmission fluid ni kama lita nne kwa gear box. Eng oil nunua lita tano itabaki kidogo. Kama haijafikisha Km 100K weka BP premium engine oil kama zaid ya hapo weka BP standard

Air cleaner wanaipiga upepo tu kisha inarudishia sio lazima mpya unless imechoka sana. Plugs pia sio lazima kubadili kama hazijakusumbua bado.

All the best.
Kaizer
Gear box oil itakua ndo nabadili mara ya kwanza likiwa mikononi mwangu.so ni tumie aina ipi provided gar imetembea zaid ya km 150,000..ilishakua.na.mmiliki mwingine before.
Nawezaje kujua kama plugs za air cleaner zinasumbua..any idea pls
 
Last edited by a moderator:
niliagiza gari yangu toka japan ikiwa imeshatembea km 85,000 sasa nimeitumia imefika km 100,000 kwenye engine kuna sehemu imeandikwa 100,000 kwamba kila baada ya km 100,000 unatakiwa kubadili timing belt...je ni lazima uibadili?nini madhara yake usipo badili,?
 
Toyota hilux ni gari madhubuti kwa kazi na ina himili barabara za aina zote,pia spear zake zinapatikana kirahisi zaidi,engine zake pia zinatengenezeka kirahisi pia. kwa upande wa Amarok ni gari la kisasa sana na engine yake inategemea sana electronics control,na ni very comfortable lakini siyo gari ya kazi ukilinganisha na hilux. na kwa upande wa FORD pia ni gari nzuri pia inajitahidi kuvumilia barabara zote kwa speed ni kwamba inachanganya mwendo haraka sana na ni nyepesi sana,inakaribia sawa na Hilux kwa umadhubuti.
 
niliagiza gari yangu toka japan ikiwa imeshatembea km 85,000 sasa nimeitumia imefika km 100,000 kwenye engine kuna sehemu imeandikwa 100,000 kwamba kila baada ya km 100,000 unatakiwa kubadili timing belt...je ni lazima uibadili?nini madhara yake usipo badili,?

Inahimili mpaka km 150000 siku ikakata na gari itasimama hapohapo vema kubadili ukishaona taa ya check engine inawaka na kuzima
 
Kaizer
Gear box oil itakua ndo nabadili mara ya kwanza likiwa mikononi mwangu.so ni tumie aina ipi provided gar imetembea zaid ya km 150,000..ilishakua.na.mmiliki mwingine before.
Nawezaje kujua kama plugs za air cleaner zinasumbua..any idea pls

In any case kama inabi kuibadili weka ya BP kama nilivoshauri. Kama imetembea km izo weka BP standard engine oile. Plug kama zimechoka gari itakuwa inamiss na utaisikia tu. Air cleaner haina plugs...hizo zinakuwaga kwenye engine.
 
Last edited by a moderator:
nashukuru kwa Uzi huu mzuri sana!
Swala langu ni kwamba nataka kuagiza gari toka Japan;FOB price yake inauzwa $723 Toyota progress ya mwaka 2000 mpaka inaingia nchini na kuclear kila kitu na TRA. itanitoka kama bei gn?;na unapoagiza gari ni vitu gani(fees) utatakiwa kulipa mpaka unapata gari yako?nauliza nipate japo mwanga coz sina uzoefu na sijawahi kuagiza gari kabla;najua wako wataalamu humu wanafahamu so naombeni kujuzwa.
Nawakilisha;Ahsanteni
 
Congratulations to guys for nice and wonderful contribution in this forum!
 
Jamani ukiagiza gari Japan na ikafika ni service gani lazima ufanye kabla hujaendesha ijapokuwa ilishafanyiwa pre-inspection Japan? Natanguliza shukrani kwa mchango wa mawazo
 
Jamani ukiagiza gari Japan na ikafika ni service gani lazima ufanye kabla hujaendesha ijapokuwa ilishafanyiwa pre-inspection Japan? Natanguliza shukrani kwa mchango wa mawazo

Kwa asilimia kubwa huna haja ya kufanya chochote kwakuwa gari inakuwa ok kwenye kila idara
 
Ni Wakati muafaka wa kuanzisha uzi maalum kwa ajili ya magari aina ya Toyota Hiace.

Hayasemwi sana Lakini ndio magari yaliyoweza kukabiliana na vurugu zote za mjini na vijijini, kwenye barabara na hata kusiko na njia huku yamebeba watu na mizigo mara tano ya uwezo wake.

Maintenance yake siyo kubwa, injini zake zadumu milele. Huenda hadi maeneo ambayo Cruiser hazitoboi.

Mjini huteswa na madereva wavuta bangi lakini bado zimo.

Kenya wanaziita Sharks. Uganda huzitumia kama Biblia au Qur'an za Safari.

Kwa uzi huu wadau wa vyombo vya usafiri tuzipe heshima zinazostahili... Toyota Hiace.
 
Last edited by a moderator:
Bila kusahau Hiace ni Ambulance, Tour vans, Family estate, crew carrier, passenger bus, cargo truck, school bus, delivery van, popote utakapoiweka Hiace ina fit
 
Nakubaliana nawe kabisa. . . .Sijui kwa nini hata Veta hawajafanya tafiti wakaanzisha workshops za maana kwa ajili ya Hiace. . . .kuanzia kuchonga shafts, pressing ya sleeves, valve seats n.k. . . .
 
Back
Top Bottom