LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
Wakuu naomba kujua ni kwanini tunapowapa mafundi waunge sehemu za vyuma kwenye magari yetu (welding) wanataka gari iwe kwenye silencer "on) au terminal ziwe disconnected?
Najua ni issues za short lakini gari ikiwa silencer inazuia vipi short? mshana jr, Transistor et el!
mkuu kwa sababu kubwa ni short kwenye otoneta kwenye diode/rectifire kama utaunga huku Gari ikiwa IPO off na hujatoa terminal ya betri inamaana utaruhusu ule umeme wa mashine ya welding uflow mpaka kwenye diode na kuziharibu.
lakini kama utakuwa umeiwasha Gari uhalibifu hauwezi tokea kwa kuwa otoneta inakuwa inafanya kazi na suala LA UMEME Ku flow mpaka kwenye diode hauwezi tokea.
sijui kama utakuwa umenielewa kama utakuwa hujanielewa au utataka maelezo ya kiufundi zaidi nitakushushia tuu.maana hapo upele umemkuta mkunaji.
Last edited by a moderator: