Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Jamani nafikiria namna ya kuichakachua Mitsubish io yangu kuweka engine ya 3S km kuna fundi au ushari naomba anijuze km kuna uwezekano tafadhali. Na je ufanisi wa engine na gari yenyewe maana inaweza ikawa natwenga maji kwenye kinu.
 
Heshima kwenu mnaozidi kutupatia elimu,binafsi naomba msaada wa kuelewshwa kuhusu ubora wa hizi gari mbili na hasa ktk matumizi ya shughuli za kawaida kwenye barabara za lami na pia Barbara za zisizo za lami,gari ipi inafaa zaidi kati ya Mitsubishi airtrek au nissan liberty, Natanguliza shukrani
 
Jana nilikua hospital regency na wife kutokana na tatizo la usafiri kwa jiji la dar nimehangaika sana no gar gani kati ya kalina na spasho inayotumia mafuta kidogo inayonifaa Mimi kama mwalimu ili nijipange hata kwa Mkopo niepuke tatitzo la usafir has a linapo kuja swala la kusafirisha mgonjwa
 
Mkuu utaalamu wa oil ni mpana sana but lengo langu ilikua kutoa basic knowledge tu ambayo kwa kweli itamsaidia mtu uelewa wa kutosha tu kwa ajili ya gari yake. Siwezi sema sana nitawachanganya wengine bcoz terminology nyingi ni za ki science zaidi.
Lakini kwa kifupi ndio hivo kama nilivyosema hapo juu.

Ni vizuri ukaendelea kwasababu hapo umegusia sehem ndogo sana.
Ningependa kujua mazingira ya baridi tofauti yake na ya joto.
Pia engine mpya na hyo used jinsi ya kutofautisha oil kwasababu hapo ndipo penye somo.
Tafadhali endelea.
 
Jana nilikua hospital regency na wife kutokana na tatizo la usafiri kwa jiji la dar nimehangaika sana no gar gani kati ya kalina na spasho inayotumia mafuta kidogo inayonifaa Mimi kama mwalimu ili nijipange hata kwa Mkopo niepuke tatitzo la usafir has a linapo kuja swala la kusafirisha mgonjwa

I'd go for Carina T.I, consumption ya mafuta ni very economy, iko stable hata kwa safari za mikoani, spare zake bwelele. Ni gari nzuri in general.
 
Jamani nafikiria namna ya kuichakachua Mitsubish io yangu kuweka engine ya 3S km kuna fundi au ushari naomba anijuze km kuna uwezekano tafadhali. Na je ufanisi wa engine na gari yenyewe maana inaweza ikawa natwenga maji kwenye kinu.
Hapa wasiliana na LEGE
 
Jana nilikua hospital regency na wife kutokana na tatizo la usafiri kwa jiji la dar nimehangaika sana no gar gani kati ya kalina na spasho inayotumia mafuta kidogo inayonifaa Mimi kama mwalimu ili nijipange hata kwa Mkopo niepuke tatitzo la usafir has a linapo kuja swala la kusafirisha mgonjwa
Carina ni ngumu zaidi japo spacio ndio inatumia mafuta kidogo zaidi ya carina
 
Ni vizuri ukaendelea kwasababu hapo umegusia sehem ndogo sana.
Ningependa kujua mazingira ya baridi tofauti yake na ya joto.
Pia engine mpya na hyo used jinsi ya kutofautisha oil kwasababu hapo ndipo penye somo.
Tafadhali endelea.
Ahsante nitaeleza tena kwa kifupi kidogo;
1. Mazingira ya joto au baridi
Joto husababisha oil kuwa nyepesi na kuathiri kitu kinaitwa viscosity. Hii viscocity ya oil kiswahili naweza sema ni urahisi au ugumu wa mmimiminiko wa vimajimaji of fluid. Narudia tena ni ngumu kueleza kwa kiswahili hapa.
Sasa basi ili kuweka sawa hio oil iweze kustahimili athari za joto au baridi kuna additives huwekwa ku maintain hio viscocity hata kwenye joto kali au baridi kali kama ulaya vinginevyo oil ingekuwa nyepesi kama maji africa na ingeganda nchi kama ulaya. Na ili oil ifanye kazi yake vizuri between the moving engine car parts lazima kuna optimam range of oil viscoty which should be maintained throughout.
2. Engine mpya na ya zamani.
Gari ikiwa mpya kiwango cha msuguano kati ya chuma na chuma yaani moving parts hua ni kubwa kidogo na hatimae kwa kipindi kifupi hali hio hutulia baada ya vyuma hivyo ku sit in. Kwa lugha ya kiswahili ni kama kuoana yaani kuelewana sijui. Hapo engine hukaa muda mrefu bila tatizo lolote kama unafatilia service na unaweka oil sahihi kwa muda sahihi. Baada ya kipindi hicho cha kuoana kwa vyovyote vile msuguano wa vyuma huacha gap kati yao ingawa hutaona kwa macho Mpaka vipimo. Hapo kiwango cha msuguano huongezeka na hivyo kuhitaji oil yenye nguvu zaidi kuzuia hilo. Vinginevyo gari ndio itaaribika mapema engine.
Mkuu niishie hapa tena. Hili darasa ni refu na mimi nisije tumbuliwa jipu.
 
asante Mshana @ LEGE popote ulipo tafadhali...
mkuu sorry sana kwa kuchelewa kuja mambo yanakaba sana.tunapigana sana na machuma na huu uchawi wa mzungu ni.shidaa ukirudi home hoi umechoka.

so kuingia jf ni nadra sana waweza nicheki hapa mkuu 0717228064
 
Ahsante nitaeleza tena kwa kifupi kidogo;
1. Mazingira ya joto au baridi
Joto husababisha oil kuwa nyepesi na kuathiri kitu kinaitwa viscosity. Hii viscocity ya oil kiswahili naweza sema ni urahisi au ugumu wa mmimiminiko wa vimajimaji of fluid. Narudia tena ni ngumu kueleza kwa kiswahili hapa.
Sasa basi ili kuweka sawa hio oil iweze kustahimili athari za joto au baridi kuna additives huwekwa ku maintain hio viscocity hata kwenye joto kali au baridi kali kama ulaya vinginevyo oil ingekuwa nyepesi kama maji africa na ingeganda nchi kama ulaya. Na ili oil ifanye kazi yake vizuri between the moving engine car parts lazima kuna optimam range of oil viscoty which should be maintained throughout.
2. Engine mpya na ya zamani.
Gari ikiwa mpya kiwango cha msuguano kati ya chuma na chuma yaani moving parts hua ni kubwa kidogo na hatimae kwa kipindi kifupi hali hio hutulia baada ya vyuma hivyo ku sit in. Kwa lugha ya kiswahili ni kama kuoana yaani kuelewana sijui. Hapo engine hukaa muda mrefu bila tatizo lolote kama unafatilia service na unaweka oil sahihi kwa muda sahihi. Baada ya kipindi hicho cha kuoana kwa vyovyote vile msuguano wa vyuma huacha gap kati yao ingawa hutaona kwa macho Mpaka vipimo. Hapo kiwango cha msuguano huongezeka na hivyo kuhitaji oil yenye nguvu zaidi kuzuia hilo. Vinginevyo gari ndio itaaribika mapema engine.
Mkuu niishie hapa tena. Hili darasa ni refu na mimi nisije tumbuliwa jipu.
Na kwa kuongezea, ni muhimu sana kwa magari ya kisasa kutumia oil sahihi.
Usichanganye kati ya 'mineral oil' na 'synthetic oil'. Ukiweka mineral oil kwenyr gari inalotumia synthetic litakufa engine haraka sana na majanga yake hutasahau.

Kuna mazoea mtu anakwambia oil ya bp, au total ndio nzuri na unaamini kuwa umeweka oil nzuri kumbe unaua gari.

Unachotakiwa kuzingatia unaponunua oil (ya brand ya oil) uzingatie

1. Kama gari yako inatumia synthetic au mineral oil.
2. Viscocity grade (hapa kuna monograde k.v. SAE 40 etc) au multi grade kama 5w-40w, 10-30 etc. Multigrade nyingi ni synthetic
3. Majira ya mwaka. Kuna oil za wakati wa baridi (winter) na za wakati wa joto, na baadhi haswa multigrade zinapiga pote pote.

Kisha unapobadili oil, tafadhali jitahidi kununua oil filter original inayoendana na part number ya gari lako. Achana na oil filter za bei nafuu hasa kwa magari ya kisasa. Majanga yake ni mabaya.

Na kabla hujaichukua gari yako toka garage hakikisha kuwa wewe na fundi mmejiridhisha kuwa oil haivuji.
 
Na kwa kuongezea, ni muhimu sana kwa magari ya kisasa kutumia oil sahihi.
Usichanganye kati ya 'mineral oil' na 'synthetic oil'. Ukiweka mineral oil kwenyr gari inalotumia synthetic litakufa engine haraka sana na majanga yake hutasahau.

Kuna mazoea mtu anakwambia oil ya bp, au total ndio nzuri na unaamini kuwa umeweka oil nzuri kumbe unaua gari.

Unachotakiwa kuzingatia unaponunua oil (ya brand ya oil) uzingatie

1. Kama gari yako inatumia synthetic au mineral oil.
2. Viscocity grade (hapa kuna monograde k.v. SAE 40 etc) au multi grade kama 5w-40w, 10-30 etc. Multigrade nyingi ni synthetic
3. Majira ya mwaka. Kuna oil za wakati wa baridi (winter) na za wakati wa joto, na baadhi haswa multigrade zinapiga pote pote.

Kisha unapobadili oil, tafadhali jitahidi kununua oil filter original inayoendana na part number ya gari lako. Achana na oil filter za bei nafuu hasa kwa magari ya kisasa. Majanga yake ni mabaya.

Na kabla hujaichukua gari yako toka garage hakikisha kuwa wewe na fundi mmejiridhisha kuwa oil haivuji.

Mkuu asante kwa darasa, ila kama utatusaidia kutambua kama gari hii inatumia aina gani ya oil itakuwa vyema zaidi maana wengi humu tu ma-layman.
 
Mkuu asante kwa darasa, ila kama utatusaidia kutambua kama gari hii inatumia aina gani ya oil itakuwa vyema zaidi maana wengi humu tu ma-layman.
Vitabu vya magari huwa vina aina za engine na hydraulic oil zimeandikwa.
Kuna baadhi ya vitabu huwa kwa lugha ngumu kama kijapan, hapo we itafute tu kwenye mtandao wa aliyetengeneza gari. Ukiweka model/chasis number inakuletea mambo yote hayo.
Na pia kuna forum za aina mbalimbali za magari ambapo wamiliki hubadilishana mawazo na kushare experience.
Unachohitaji tu ni ku google hiyo forum afu upate maujuzi eg 'lexus owners forum' etc.
 
Gari inapiga shoti nikigusa mlangoni sehemu ambayo imechunika rangi. ...hii inaweza kuleta madhara gani?
 
Labda tatizo laweza kua matumiz ya wese hasa ukipeleka bush!
Wakuu nina Escudo 2.0 engine J20A, ulaji wake wa mafuta hauzidi 8km kwa lita.

Nataka nifunge engine ndogo isiyozidi 1600cc.

Naomba ushauri wa namna ya kupata hii engine na bei yake. Nipo Arusha.
 
Wakuu nina Escudo 2.0 engine J20A, ulaji wake wa mafuta hauzidi 8km kwa lita.

Nataka nifunge engine ndogo isiyozidi 1600cc.

Naomba ushauri wa namna ya kupata hii engine na bei yake. Nipo Arusha.
Mkuu si ununue tu gari ya hizo cc?

Napata wsws uzito wa gari vs size ya engine vinaweza kutobalance
 
Mkuu si ununue tu gari ya hizo cc?

Napata wsws uzito wa gari vs size ya engine vinaweza kutobalance
Napenda body ya hii gari kwasababu inahimili mikiki ya mazingira yangu, hasa rough road.

Hivi vigari vidogo ntaviua mapema.
 
Back
Top Bottom