Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Leo kasichana na babake hawatausika niniAh kawaida tu Sema leo bia nyingi nmepiga kuanzia saa 11
Ova
Leo safari nasafiri tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Leo kasichana na babake hawatausika nini
Mkuu umeshawaka wewee[emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha...Nakula nyagi naona silewi, acha nijimixie hata na kamkojo kidogo
Nko tungi balaa maana mwezi mzima nalewaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuMkuu umeshawaka wewee[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nakula nyagi naona silewi, acha nijimixie hata na kamkojo kidogo
Kweli naona mwandiko umeanza kupindaNko tungi balaa maana mwezi mzima nalewaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] tu
Ova
haahahahaaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 870289
Sijawahi kzimaaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Noma Bob usije zima
Ova
Daaa Kuna mhudumu namuona mzuri kuliko hata Nancy Sumari hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wachaa niwah home nisije leta balaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Noma Bob usije zima
Ova
Mkuu hakuna watu smart kama wahudumuDaaa Kuna mhudumu namuona mzuri kuliko hata Nancy Sumari hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] wachaa niwah home nisije leta balaa
Yeah iyo hutokeaga mkuu sijakataa ila hapa kwa Leo naona siko kbsaaMkuu hakuna watu smart kama wahudumu
Kuna jamaa yngu tulikuwa tunapiga naye gambeee sana alimchomekea mhudumu wakawa kwenye mahusiano mpka WAKAJA funga ndoa na wapo mpaka Sasa....
Aise hao wadada wanajua maisha sana
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yeah iyo hutokeaga mkuu sijakataa ila hapa kwa Leo naona siko kbsaa
Wazee wako kaunta tuli[emoji23] [emoji23] [emoji23]Don't spill my drink
nakubaliana na ww mkuu,, mi nna jamaa angu pia kaoa muudumu,., maisha waliopitia waudumu inawafanya wawe smart sana kwny ndoa wanajua wanaume tunataka nn,.Mkuu hakuna watu smart kama wahudumu
Kuna jamaa yngu tulikuwa tunapiga naye gambeee sana alimchomekea mhudumu wakawa kwenye mahusiano mpka WAKAJA funga ndoa na wapo mpaka Sasa....
Aise hao wadada wanajua maisha sana
Ova
Nilifika salama na sasa nipo ndani nikasema nichungulie uzi. Leo nilifanya kufuru nikakimbia mapema nisije nikafukuzwa na ma msap.Afadhali jana umefika salama