Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nachangia mada kwa uchungu sana kiu kimebana balaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji24][emoji24][emoji24]
Najua majukumu umebanwa mzee baba
Vp si ujiibe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna siku nilienda polisi obay alafu ikawa mapema ah Nkaenda kwenye bar yao pale
Nkamwambia kaunta afanye mazabe ninywe
Moja mbili....nkampa teknics zetu zile Aweke pombe ndani ya dragon au redbull sisi tupige mambo [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tulilewa kuanzia saa nne mpaka kesho yule kaunta salute

Ova
 
[emoji848][emoji848][emoji86][emoji86][emoji86]hapa nilipo michongo hiyo iko mbali mwana ngoja tu nivumilie
 
[emoji848][emoji848][emoji86][emoji86][emoji86]hapa nilipo michongo hiyo iko mbali mwana ngoja tu nivumilie
Poa vumilia
Itabidi siku niwapeni teknics namna ya kunywa pombe kwenye shuguli a za walokole au Sabato wanywaji si unajua sisi wazee wa mbinu nyingi [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Poa vumilia
Itabidi siku niwapeni teknics namna ya kunywa pombe kwenye shuguli a za walokole au Sabato wanywaji si unajua sisi wazee wa mbinu nyingi [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji23][emoji23][emoji23]nina zile za Msata Kilingeni hapa nilipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…