Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Unaakili kama zangu ukinichomekea nalipa ila nikija kesho tusilaumiane, maana nakuachia majanga.
Wanafikiri sisi tumeiba au?.
Mm ndy zangu bar ukidai haki yako badaye wanakuzushia umefanya fujo....
Malindi pale wazee walitulaza lookup tukatoka asubuhi[emoji23]
Nliwarudia tukatumia nkazuga naenda chooni ndy kimoja tena nlitaka waachia msala wa 100000 basi tu

Ova
 
Mkuu hilo ini liko salama kweli....

Maana hizo chupa si mchezo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nko salama ila tunamuomba mungu daily
Nshachkuaa nyingine nataka nilipige

Ova
20180919_134847.jpg
 
Pambana kaka hizi zipo baada ya kumeki usije ukakosa mshiko.
Hii ndio raha ya pesa na pesa lazima utumike mpaka uishe kama lapa.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji475][emoji475][emoji475]
[emoji144] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji118] [emoji123] [emoji123] [emoji115]
 
Hvi k vant Naskia nzuri watu wengi wa nyagi wamehamia
Ila nyagi tatizo inachakachuliwa sana
Kma haujui utauziwa sumu
Ila mm nyagi kma feki naijuaaa

Ova
Zamani k vant nilikuwa naiona inalipua an inaharufu kali now days iko poa na laini naamka Niko sawa!!kwangu iko vizuri kuliko konyagi nimehamia megatrade mazima konyagi nashtua tu mara moja moja
 
Zamani k vant nilikuwa naiona inalipua an inaharufu kali now days iko poa na laini naamka Niko sawa!!kwangu iko vizuri kuliko konyagi nimehamia megatrade mazima konyagi nashtua tu mara moja moja
Mm naenda nunua nyagi manzese kwa mrina
Nachkua box zangu kadhaaaa kwa jumla naweka ndani
Ila kuna viwanda feki kibaoooo za nyagi
Nliuziwa nyagi feki nkamwambia jamaa asinywe syo tuliwatimbiaaa hko kimara bonyokwa ndani ndani fine yao ilibidi watuchkulie nyagi katon nzima kwa mrina manzese tukamalizana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si unajua sisi wengine watata [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Back
Top Bottom