gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Bablai!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bablai!
Nilichomekewa bill kutaka kujua ikawa shidaIpo na bado ile biashara haramu ya pachuchi inaendelea mkuu.
Mkuu hilo ini liko salama kweli....
Unaakili kama zangu ukinichomekea nalipa ila nikija kesho tusilaumiane, maana nakuachia majanga.Nilichomekewa bill kutaka kujua ikawa shida
Ila nliwarudia nliwachiaa shot ya 40000
Mm ndukiii
Ova
We jamaa umenichekesha sana[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu
Mm ndy zangu bar ukidai haki yako badaye wanakuzushia umefanya fujo....Unaakili kama zangu ukinichomekea nalipa ila nikija kesho tusilaumiane, maana nakuachia majanga.
Wanafikiri sisi tumeiba au?.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu hilo ini liko salama kweli....
Maana hizo chupa si mchezo...
Naanza kulisongeshaUnaakili kama zangu ukinichomekea nalipa ila nikija kesho tusilaumiane, maana nakuachia majanga.
Wanafikiri sisi tumeiba au?.
Nshakuacha mbali
Tunalibariki taifa kwa kodi bossSafiii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Hvi k vant Naskia nzuri watu wengi wa nyagi wamehamiaNshakuacha mbali
Wachangiaji kodi watiifu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tunalibariki taifa kwa kodi boss
[emoji144] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji118] [emoji123] [emoji123] [emoji115]Pambana kaka hizi zipo baada ya kumeki usije ukakosa mshiko.
Hii ndio raha ya pesa na pesa lazima utumike mpaka uishe kama lapa.[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji475][emoji475][emoji475]
Mwenyekiti Inabidi uwafikishie wakuu malalamiko yetu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hawaendi peponi
[emoji848][emoji848][emoji39][emoji39][emoji39][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nko salama ila tunamuomba mungu daily
Nshachkuaa nyingine nataka nilipige
Ova
View attachment 871055
Zamani k vant nilikuwa naiona inalipua an inaharufu kali now days iko poa na laini naamka Niko sawa!!kwangu iko vizuri kuliko konyagi nimehamia megatrade mazima konyagi nashtua tu mara moja mojaHvi k vant Naskia nzuri watu wengi wa nyagi wamehamia
Ila nyagi tatizo inachakachuliwa sana
Kma haujui utauziwa sumu
Ila mm nyagi kma feki naijuaaa
Ova
Mm naenda nunua nyagi manzese kwa mrinaZamani k vant nilikuwa naiona inalipua an inaharufu kali now days iko poa na laini naamka Niko sawa!!kwangu iko vizuri kuliko konyagi nimehamia megatrade mazima konyagi nashtua tu mara moja moja