mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Inabidi nyagi niweke humu yaani safari na mziki[emoji23]Maana Bila kutoa lock akili haiwezi kwenda Sawa
Ova
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi nyagi niweke humu yaani safari na mziki[emoji23]Maana Bila kutoa lock akili haiwezi kwenda Sawa
Ova
Dah wiki hii sina cha kutupia... Nimeamua tu kumkumbuka mwanangu huyuView attachment 870905Mimi najiiba kwa mangi napiga moja fasta then niende kwenye mitkasi maana jana ilikuwa balaa[emoji23] [emoji23]
View attachment 870885View attachment 870886
Vp umepumzika kdg gambeee [emoji23]Dah wiki hii sina cha kutupia... Nimeamua tu kumkumbuka mwanangu huyuView attachment 870905
Poa wengine sisi si unajua tumejiajiriRatiba inabana ila Jmos kama kawa
watu washazoea hali. Hakuna tena jiwe wala, iron kukaza.Shindweni wenyewe View attachment 863999
Balimi Mkuu???[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hizo siziwezi kbc mkuu
Unazibua apoo daaah[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Mimi najiiba kwa mangi napiga moja fasta then niende kwenye mitkasi maana jana ilikuwa balaa[emoji23] [emoji23]
View attachment 870885View attachment 870886
duhhhhhhhhhhhhhhhhhhh. Pole kwa sabau, yajayo yanafurahisha***** sasa mwela anisogelee kutaka kunipima alcohol aone..View attachment 870478
Nlikuwa natoa lock[emoji23] [emoji23]Unazibua apoo daaah[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Alafu toka uzi huu uwekwe hewani na sisi wapenda kilaji ku share kwa nguvu zote.... mambo yetu humu ndani........tumezaliwa tunyuzi twingine....twa ajabu........ (miscellaneous)....mara eti.... oo uzi wa wanywa juice soda...na kuna kauzi kengine nimekaona leo ....ooh pombe inagombanisha familia....so pathetic
Mungu wangu... Saa hii tiali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pamamfazao. Sijia kama Nmjeandikahs sjwaza.
Eti vha sofa na jiuve.
Uzi wa bia ni alllllllllsimmmmmmmmmmmmma uwendelee.
Sijia kama Nmjeandikahs sjwaza. 😎😎😎😎
Jamaa kaandika kirumi[emoji23][emoji23][emoji23]Mungu wangu... Saa hii tiali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnywaji hana habari, viwanda na wauzaji watajitwist wenyewe ndio maana siku hizi kuna nyagi ya kupimawatu washazoea hali. Hakuna tena jiwe wala, iron kukaza.
Huyo tayariiiii [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mungu wangu... Saa hii tiali? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kbsa....wanywaji sisi peace sana [emoji23] [emoji23]Mnywaji hana habari, viwanda na wauzaji watajitwist wenyewe ndio maana siku hizi kuna nyagi ya kupima
Pombe za asubuhi noma zinakuchkua mapema sna[emoji23] mm bia moja tu nmepigaZa mchana hazishukagi chini zinapanda juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]