machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Bangi ni mambo zingine za kufungua jicho la 3 na ni nje ya mada[emoji848][emoji848][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi ni mambo zingine za kufungua jicho la 3 na ni nje ya mada[emoji848][emoji848][emoji23]
Hahaha naona Mdogo Mdogo safari moja uanzisha nyingine
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji106]Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Kaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Swaga za wanywa soda na shurubati [emoji119][emoji119][emoji119][emoji115][emoji115][emoji38][emoji38][emoji38]no offense...!!!! View attachment 870001
Huwa tunajaliana mnooooUzuri wa sisi wanywaji ( wachangia kodi) tuna upendo mno ktk kutakiana kheri
Unaenda wapi tena [emoji28][emoji28][emoji28][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Njoo nikupe ofa[emoji1][emoji1][emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100]
hhaaaaaaaaa khaa!hyo harufu sasa itakuwaje!aisee mm sitakuja fikia huk0 aiseeNimeamka na balimi moja bariidi sana napiga funda niwahi kibaruani
Hii ni sifaaa aiseeView attachment 870803
Yaani nimeshikwa na kiu gaflaa ila naogopa kudakwa asubuhi hii[emoji23][emoji23][emoji23]kwakwel ni sifa!dah