Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinatufanya kufikiria sana ili tu Pate hela maana lazima twende kilingeni jioni tukutane na wadau wenzetu [emoji23] [emoji23]Wanywaji pombe sisi ni watafuta pesa wazuri sana... Pombe hizi za kiwango
Napumzikaga wiki then naanza tena[emoji23]We jamaa nakuvulia kofia. Tungi 24/7 yani dah. Mimi ningekufa.
We msenge unakata pombe kwelikweli...Hapo vp maana dada wa jikoni kanisogelea kwa mnywaji mtata,vp nkuweke hapo
Ova
View attachment 871291View attachment 871292
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We msenge unakata pombe kwelikweli...
Mimi ni mnywaji ila wewe hapana aisee..
Kaka embu nipe ratiba yako leo ukikatiza mitaa ya makumbusho mpaka mikocheni nistue tusukume mbili tatu....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kawaida tu Dah
Ova
Poa poa nkipita hko ntakustuaKaka embu nipe ratiba yako leo ukikatiza mitaa ya makumbusho mpaka mikocheni nistue tusukume mbili tatu....
Pale kwa maongezi SafiDah bar ya wazee wa nanii ile... Kitambo sana wallah
Mrangi wewe ni mlipa kodi mzuri Sana...TRA lazima wakutambuePoa poa nkipita hko ntakustua
Leo ntakatiza kwa octah nyuma ya French embassy kna wadau ntaenda wachek
Ova
We kaka ukapoteaWe msenge unakata pombe kwelikweli...
Mimi ni mnywaji ila wewe hapana aisee..
SafiWakuu nawasalimu sanaaa Amani iwe juu yenu, tusio na weekend tushazianza mapema na wale wa weeknd ndo hiyo inakaribia.
Dah bar ya wazee wa nanii ile... Kitambo sana wallah
Hiyo bar wanafanya biashara kimazoea Sana. Kama week 3 zilizopita nilienda eti hata opener ya chupa ya wine hawana.Poa poa nkipita hko ntakustua
Leo ntakatiza kwa octah nyuma ya French embassy kna wadau ntaenda wachek
Ova
Basi pamechoka enzi za Ben na baadae JK palikuwa moto sana kuanzia jikoni wahudumu mpaka vinywajiHiyo bar wanafanya biashara kimazoea Sana. Kama week 3 zilizopita nilienda eti hata opener ya chupa ya wine hawana.
Wale wamama wazee nao wabadilishwe waletwe wadada bwana.
Wapuz wale wanangalia sura waanababaikiaHiyo bar wanafanya biashara kimazoea Sana. Kama week 3 zilizopita nilienda eti hata opener ya chupa ya wine hawana.
Wale wamama wazee nao wabadilishwe waletwe wadada bwana.
Mi nilipapita enzi za JK. Kwa Octa kwa Octa kweli. Sasa hivi pamebaki jina.Basi pamechoka enzi za Ben na baadae JK palikuwa moto sana kuanzia jikoni wahudumu mpaka vinywaji