Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mlevi ni MTU muhimu sana,si kwa serikali tu hata kwa mmliki wa bar ,km una bar/grocery humsikilizi mnywaji wako unafeli
Huyo huyo... Nikiikumbuka Bakulutu ya wakati ule na gorverner ya leo aisee acha tu... Tulikuwa tunakula vyombo pale na marehemu mzee Sita na kampani yake
 
Ukitaka udumu na biashara ya bar usitembee na wfanyakazi wako

Ova
Nadhani ni biashara zote labda tu kwa masharti ya mganga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji23][emoji23]
 
Pombe tunyweni tuko makini
Maana ukinywa upo gazbu hasira stress wateva ni balaaa!
Kuna siku moja muda sana tulikuwa tunakunywa mtaa ya blok41 kuna dada mmja anaitwa glory alikuwa na glocery yake
Basi gambeee weka gambeee
Nakumbka nlikuwa na mchzi wangu bro pia anaitwa Robert (rip)alikuwa ana miliki bar za matema
Kwenye kilinge chetu kulitokea sana mizinguano watu Wanapishana kauli mpk watu wakawa wanatoleana mguu wa kuku
Ila mwisho wa siku nakumbka jamaa Roby alifariki kwa ajali ya gari ila siku ile ilikuwa a na nksi mabalaa tupu

Ova
Dah pole mdau kuna siku za makafara lakini pia kuna siku ibilisi husimamia ukucha
 
Mada inaruhusu kutupia hata vilaji vya wengine
IMG-20180921-WA0002.jpg
IMG-20180921-WA0013.jpg
 
Pombe tunyweni tuko makini
Maana ukinywa upo gazbu hasira stress wateva ni balaaa!
Kuna siku moja muda sana tulikuwa tunakunywa mtaa ya blok41 kuna dada mmja anaitwa glory alikuwa na glocery yake
Basi gambeee weka gambeee
Nakumbka nlikuwa na mchzi wangu bro pia anaitwa Robert (rip)alikuwa ana miliki bar za matema
Kwenye kilinge chetu kulitokea sana mizinguano watu Wanapishana kauli mpk watu wakawa wanatoleana mguu wa kuku
Ila mwisho wa siku nakumbka jamaa Roby alifariki kwa ajali ya gari ila siku ile ilikuwa a na nksi mabalaa tupu

Ova
Robert alianguka na Range Rover? Hy siku jamaa alituacha mchana jacaranda
 
Back
Top Bottom