Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mlevi ni MTU muhimu sana,si kwa serikali tu hata kwa mmliki wa bar ,km una bar/grocery humsikilizi mnywaji wako unafeli
Huyo huyo... Nikiikumbuka Bakulutu ya wakati ule na gorverner ya leo aisee acha tu... Tulikuwa tunakula vyombo pale na marehemu mzee Sita na kampani yake
 
Ukitaka udumu na biashara ya bar usitembee na wfanyakazi wako

Ova
Nadhani ni biashara zote labda tu kwa masharti ya mganga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji23][emoji23]
 
Dah pole mdau kuna siku za makafara lakini pia kuna siku ibilisi husimamia ukucha
 
Robert alianguka na Range Rover? Hy siku jamaa alituacha mchana jacaranda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…